JK ndio nani? mpaka twende kumzika kaka yake? Huku kwetu kuna msiba sijaona hata kwato za JK.Jk alipofiwa na Kaka yake hatukuziona hata kwato zenu!
JK ndio nani? mpaka twende kumzika kaka yake? Huku kwetu kuna msiba sijaona hata kwato za JK.Jk alipofiwa na Kaka yake hatukuziona hata kwato zenu!
mazishi ya kamanda mawazo jk alitia pua?Jk alipofiwa na Kaka yake hatukuziona hata kwato zenu!
ulitakiwa kuongeza maneno haya " ALIYESHINDA UCHAGUZI HALALI WA OCT 25 " unafiki hautakusaidia chochote .CCM ipi ya kumwogopa mgombea Urais wa kudumu wa CUF?
who is JK by the way , huyu hadithi yake imekwisha .Jk alipofiwa na Kaka yake hatukuziona hata kwato zenu!
Hilo swali lako Muulize aliehoji JK Kutokwenda kumtazama Seif Sharif. JK nani mpaka ahojiwe kwa kutokwenda kumtembelea Mgonjwa nami ndo nikawahoji mbona wao hawakwenda kumhani ALIPOFIWA.who is JK by the way , huyu hadithi yake imekwisha .
Hilo swali muulizeni Nyumbu mwenzenu aliehoji JK kutokwenda kumtembelea Maalim SeifJK ndio nani? mpaka twende kumzika kaka yake? Huku kwetu kuna msiba sijaona hata kwato za JK.
Bavicha uchaguzi halali upo tarehe 23 march......ulitakiwa kuongeza maneno haya " ALIYESHINDA UCHAGUZI HALALI WA OCT 25 " unafiki hautakusaidia chochote .
Nakuuliza wewe, fisi wa lumumba, maalim Seif unaweza kumfananisha na kaka ake kikwete kwenye historia ya nchi hii? una jipu la kwenye ubongo si bure.Hilo swali muulizeni Nyumbu mwenzenu aliehoji JK kutokwenda kumtembelea Maalim Seif
Nakuuliza wewe, fisi wa lumumba, maalim Seif unaweza kumfananisha na kaka ake kikwete kwenye historia ya nchi hii? una jipu la kwenye ubongo si bure.
Mi si mkwere sina mpango wa kuelewa majungu wala ngonjera, maana ngonjera ni sawa na hekaya za abunuwasi.Kaka yake Kikwete hajawahi kusaliti Juhudi za Mzee Aboud Jumbe Rais wa Pili wa Zanzibar aliekuwa anapigania Mamlaka kamili ya Zanzibar 1983 akachongewa na Maalim Seif kwa Mwl Nyerere akavuliwa Madaraka yake ya Urais na Kikundi cha Wasukuma,Wapate,waha,Wagogo n.k. Mwendesha mashtaka alikuwa Seif. Nadhan umeelewa tofauti yao
Mi si mkwere sina mpango wa kuelewa majungu wala ngonjera, maana ngonjera ni sawa na hekaya za abunuwasi.
Hii komedi ya kuugua na kupumzika hotelini itaisha baada ya uchaguzi kurudiwa , nyie kaeni mnajibaraguza tu , hawa watu wanajua wanachokifanyaJk alipofiwa na Kaka yake hatukuziona hata kwato zenu!
Mliambiwa na Nnape kuwa CCM itashinda hata kwa bao la mkono hamkuamini?ulitakiwa kuongeza maneno haya " ALIYESHINDA UCHAGUZI HALALI WA OCT 25 " unafiki hautakusaidia chochote .
ccm haikushinda zanzibar .Mliambiwa na Nnape kuwa CCM itashinda hata kwa bao la mkono hamkuamini?
Basi mwambie Maalim ahamie Ikulu fasta!ccm haikushinda zanzibar .
ndio kinachofuatia .Basi mwambie Maalim ahamie Ikulu fasta!