Recent content by Kaitamarogo 23

  1. K

    Uliwahi kukutana na Mauzauza gani ya giza/uchawi katika Nyumba ya Kupanga au ulipohamia nyumba mpya?

    Wale wapuuzi wanaosema haya mambo hayapo achana nao mi nimejenga ila mpaka sasa siishi kwa amani nasikia vitu vinadondoka juu ya bati nikiuliza wananiambia majini ya kichawi
  2. K

    Somo la mali kwa wanandoa kwa kilichotokea kwa Achraf Hakimi na mkewe

    Tangu uingie mitini wakati unataka kuyashitaki makampuni ya simu ulionekana hovyo kweli nimeshangaa kuona umerudi au kuna chochote ulipewa ukasaliti umma?
  3. K

    Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

    Analyse tupeleke moro tupige vitu nshaona mtu anatapeliwa had anaenda atm anatoa anawakabidhi au ilikuwa ni wewe
  4. K

    Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

    Una uhakika au kwa sababu hujakutana nayo
  5. K

    Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

    Kuna pesa za majini, kafara, wizi, magendo, zari mfano kwenye madini, ufisadi Serikalini
  6. K

    Zuru Tanzania

    Uliwahi kuona wapi damu ambayo siyo nyekundu? Nyekundu kuhusishwa na damu au kafara
Back
Top Bottom