Ishu ilianzia mimi kuoa rafiki nikakaa na demu km miaka 4 ivi,nikaja kugundua yule demu sio kwenye maeneo mengi sana,km kuchukia wanangu na kuwafanyia vitendo vyakukatili ila pia alikuwa malaya nk mengine mtakuambia km tukiwa wawili
Sasa ndio kuachana sasa weeee
Tangu apo jamaa yangu nilipita...