Hata mimi mnakopeleja pia kuanzia mwezi wa nne kulala na laki na hela kawaida
Yaani guta kama liko vema ukimpa mtu unamnufaisha kn una nafasi komaa mwenyewe ubatoboa
Binafsi sijawahi kuitumia ila watu wengi sana wanasema kwa sasa guta mzuri ni sinoray hata ambao wanatumia wanhoo baadhi pia wanashauri sinoray ni bora zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.