Huyo hakupendi hata robo yaani wanawake ni very janjful hapo ana mtu anayempenda kwa dhati wewe unachunwa mpige chini tafuta mwingine atakukumbukaga mbele ya safari
Wengine hawana hata aibu akijua una chochote unashangaa kila sk anakwambia ana shida ili umpe chochote dume suruali kama huna hela usitongoze ukwendreee
Maana mwanamke akishagundua anajipendekeza kukupenda wewe haumjali siku akifanya maamuzi kutoka ndani moyo utasahau hata ulikutana nae wapi, ujumbe huu umenikuna haswaaa
Aisee hadi watu tumelia machozi inawezekana wametishwa sana kwahiyo ni ngumu sana yeye kuusema ukweli maana amesema hatuna amani kabisa na usalama wetu nimemuelewa labda ukweli usemwe na wengine ila yeye hawezi Tanzania imegeuka mafia
Na actualy umekuja na baadhi ya solution kazi ya moyo kusukuma damu ukiliweka li mtu moyoni duu ni shida mm wangu nampenda nikiwa nae ila akinitega mgongo mapenzi yameisha hata kama atarudi baada ya miez 6 sitaki shida wakati kuna mambo mengi ya kufanya maana ukayabeba maidhi yao miaka 25...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.