UPOPO
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,446
- 5,414
Aongee hizo basi ,kwani sisi tunataka kusikiliza habari .Mimi kama bosi siwezi kukusanya wafanyakazi na kuanza kuongea vitu kama hivyo nitaongelea vitu vyenye tija kama policy zetu procedures etc.Hivyo vya mipasho NeMaendeleo huyaoni ? Flyovers huzioni?