Mwanaume ukipendwa pendeka

Mwanaume ukipendwa pendeka

Sina la kusema bali wanaume woteee natamani wasome hapa
 
Hapo kwenye simu mnazingua tu, mtu unamwambia kabisa muda huu na huu niko au nitakuwa bize, bado unakuta anapiga tu simu, ukipokea anasema nimekumiss sina jipya, huku ni kupotezeana muda, True love lazima kumisiana na mikausho uwepo, sio 24 hrs mnaongea tu au kuchat, ni lazima ipite walau siku 1 kimyaaa... Labda uwe mke kabisa.

Kila kitu ni kizuri kikifanywa kwa wakati unaostahili
 
Habari zenu waungwana, poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Ewe mwanaume thamini upendo unaoonyeshwa na mpendwa wako ipo siku utautafuta huo upendo utaukosa kila kona utakayokuwa unazunguka utakutana na cheche za moto huku ukiitafuta Amani ya mahusiano huioni.

Mwanamke akikupenda nakupenda kweli ,onyesha kujali hata mawasiliano yake, unapigiwa simu hupokei mbaya zaidi ukipata miscall yake humtafuti, ewe mwanaume ivi kweli una upendo au unatania?

Mwanamke anakuweka wazi mambo yake lakini wewe unajifanya hayakuhusu,bewe mwanaume nakuuliza huyo mwanamke ni mjinga kukwambia? Ipo siku utamtafuta hata wa kukwambia asset aliyonayo na umkose na itakuwa siri yake.

Kweli haya maisha ya mapenzi kuna wakati hayana maana yule unayempenda wewe yeye hakupendi anampenda mwingine muda na wewe hana kwanza ukimtafuta kwa ajili ya kumjulia hali ni shida.

Pale unapomshauri anasema hapendi malumbano, ukimwambia tutafute suluhu la hili tatizo anakata mawasiliano yenu.

Mwanaume usiyejali kuwa na nina mwenzangu ana umwa hata kumjulia hali huna muda, ipo siku yako utapata wa kukunyoosha.

Wacha niendelee kutafuta pesa kwanza mapenzi yatakuja yenyewe.

Ni maneno yangu kwa siku ya leo

Pale unapopata nafasi ya kupendwa pendeka “TRUE LOVE NEVER COME TWICE”
Njoo utapendwa mpaka shetani some wivu..!

Nakama hujazoea mapenzi makubwa hutayambia..! SERIOUS wahi makutano junction.
 
Hata wanawake wapo hivyo hivyo so tusalaumiane
 
Hapo kwenye simu mnazingua tu, mtu unamwambia kabisa muda huu na huu niko au nitakuwa bize, bado unakuta anapiga tu simu, ukipokea anasema nimekumiss sina jipya, huku ni kupotezeana muda, True love lazima kumisiana na mikausho uwepo, sio 24 hrs mnaongea tu au kuchat, ni lazima ipite walau siku 1 kimyaaa... Labda uwe mke kabisa.

Kila kitu ni kizuri kikifanywa kwa wakati unaostahili
Mkuu umenena vyema kabisaa na naungana na maneno yako usemayo maana kila jambo lina muda na wakati pia,hivyo tuheshimu muda wa kazi na muda wa mapenzi siyo kila muda ni kuchati tu nakupigiana simu hii inawezakupelekea kufukuzwa/kuharibu kazi
 
Habari zenu waungwana, poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Ewe mwanaume thamini upendo unaoonyeshwa na mpendwa wako ipo siku utautafuta huo upendo utaukosa kila kona utakayokuwa unazunguka utakutana na cheche za moto huku ukiitafuta Amani ya mahusiano huioni.

Mwanamke akikupenda nakupenda kweli ,onyesha kujali hata mawasiliano yake, unapigiwa simu hupokei mbaya zaidi ukipata miscall yake humtafuti, ewe mwanaume ivi kweli una upendo au unatania?

Mwanamke anakuweka wazi mambo yake lakini wewe unajifanya hayakuhusu,bewe mwanaume nakuuliza huyo mwanamke ni mjinga kukwambia? Ipo siku utamtafuta hata wa kukwambia asset aliyonayo na umkose na itakuwa siri yake.

Kweli haya maisha ya mapenzi kuna wakati hayana maana yule unayempenda wewe yeye hakupendi anampenda mwingine muda na wewe hana kwanza ukimtafuta kwa ajili ya kumjulia hali ni shida.

Pale unapomshauri anasema hapendi malumbano, ukimwambia tutafute suluhu la hili tatizo anakata mawasiliano yenu.

Mwanaume usiyejali kuwa na nina mwenzangu ana umwa hata kumjulia hali huna muda, ipo siku yako utapata wa kukunyoosha.

Wacha niendelee kutafuta pesa kwanza mapenzi yatakuja yenyewe.

Ni maneno yangu kwa siku ya leo

Pale unapopata nafasi ya kupendwa pendeka “TRUE LOVE NEVER COME TWICE”
Asante nimekuelewa,Mungu akujalie kwa ulichokisema
 
Ukiumizwa wew mwanamke unaona umeonewa lakini mapenzi ya usaliti yapo pande zote hakuna cha mwanaume wala mwanamke
 
Habari zenu waungwana, poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Ewe mwanaume thamini upendo unaoonyeshwa na mpendwa wako ipo siku utautafuta huo upendo utaukosa kila kona utakayokuwa unazunguka utakutana na cheche za moto huku ukiitafuta Amani ya mahusiano huioni.

Mwanamke akikupenda nakupenda kweli ,onyesha kujali hata mawasiliano yake, unapigiwa simu hupokei mbaya zaidi ukipata miscall yake humtafuti, ewe mwanaume ivi kweli una upendo au unatania?

Mwanamke anakuweka wazi mambo yake lakini wewe unajifanya hayakuhusu,bewe mwanaume nakuuliza huyo mwanamke ni mjinga kukwambia? Ipo siku utamtafuta hata wa kukwambia asset aliyonayo na umkose na itakuwa siri yake.

Kweli haya maisha ya mapenzi kuna wakati hayana maana yule unayempenda wewe yeye hakupendi anampenda mwingine muda na wewe hana kwanza ukimtafuta kwa ajili ya kumjulia hali ni shida.

Pale unapomshauri anasema hapendi malumbano, ukimwambia tutafute suluhu la hili tatizo anakata mawasiliano yenu.

Mwanaume usiyejali kuwa na nina mwenzangu ana umwa hata kumjulia hali huna muda, ipo siku yako utapata wa kukunyoosha.

Wacha niendelee kutafuta pesa kwanza mapenzi yatakuja yenyewe.

Ni maneno yangu kwa siku ya leo

Pale unapopata nafasi ya kupendwa pendeka “TRUE LOVE NEVER COME TWICE”
Maana mwanamke akishagundua anajipendekeza kukupenda wewe haumjali siku akifanya maamuzi kutoka ndani moyo utasahau hata ulikutana nae wapi, ujumbe huu umenikuna haswaaa
 
Habari zenu waungwana, poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Ewe mwanaume thamini upendo unaoonyeshwa na mpendwa wako ipo siku utautafuta huo upendo utaukosa kila kona utakayokuwa unazunguka utakutana na cheche za moto huku ukiitafuta Amani ya mahusiano huioni.

Mwanamke akikupenda nakupenda kweli ,onyesha kujali hata mawasiliano yake, unapigiwa simu hupokei mbaya zaidi ukipata miscall yake humtafuti, ewe mwanaume ivi kweli una upendo au unatania?

Mwanamke anakuweka wazi mambo yake lakini wewe unajifanya hayakuhusu,bewe mwanaume nakuuliza huyo mwanamke ni mjinga kukwambia? Ipo siku utamtafuta hata wa kukwambia asset aliyonayo na umkose na itakuwa siri yake.

Kweli haya maisha ya mapenzi kuna wakati hayana maana yule unayempenda wewe yeye hakupendi anampenda mwingine muda na wewe hana kwanza ukimtafuta kwa ajili ya kumjulia hali ni shida.

Pale unapomshauri anasema hapendi malumbano, ukimwambia tutafute suluhu la hili tatizo anakata mawasiliano yenu.

Mwanaume usiyejali kuwa na nina mwenzangu ana umwa hata kumjulia hali huna muda, ipo siku yako utapata wa kukunyoosha.

Wacha niendelee kutafuta pesa kwanza mapenzi yatakuja yenyewe.

Ni maneno yangu kwa siku ya leo

Pale unapopata nafasi ya kupendwa pendeka “TRUE LOVE NEVER COME TWICE”
Haaaa!, walio wengi wako tu kwa ajili ya kuumiza wanawake. Ushauri tuu, ni kua hakuna haja ya kubembeleza janaume aina hii. Ukishastuka tuu kua huko hvyo fasta tupa kuleee!, endea na mambo yk.
 
Habari zenu waungwana, poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Ewe mwanaume thamini upendo unaoonyeshwa na mpendwa wako ipo siku utautafuta huo upendo utaukosa kila kona utakayokuwa unazunguka utakutana na cheche za moto huku ukiitafuta Amani ya mahusiano huioni.

Mwanamke akikupenda nakupenda kweli ,onyesha kujali hata mawasiliano yake, unapigiwa simu hupokei mbaya zaidi ukipata miscall yake humtafuti, ewe mwanaume ivi kweli una upendo au unatania?

Mwanamke anakuweka wazi mambo yake lakini wewe unajifanya hayakuhusu,bewe mwanaume nakuuliza huyo mwanamke ni mjinga kukwambia? Ipo siku utamtafuta hata wa kukwambia asset aliyonayo na umkose na itakuwa siri yake.

Kweli haya maisha ya mapenzi kuna wakati hayana maana yule unayempenda wewe yeye hakupendi anampenda mwingine muda na wewe hana kwanza ukimtafuta kwa ajili ya kumjulia hali ni shida.

Pale unapomshauri anasema hapendi malumbano, ukimwambia tutafute suluhu la hili tatizo anakata mawasiliano yenu.

Mwanaume usiyejali kuwa na nina mwenzangu ana umwa hata kumjulia hali huna muda, ipo siku yako utapata wa kukunyoosha.

Wacha niendelee kutafuta pesa kwanza mapenzi yatakuja yenyewe.

Ni maneno yangu kwa siku ya leo

Pale unapopata nafasi ya kupendwa pendeka “TRUE LOVE NEVER COME TWICE”


Usiwe na hofu, jaribu kunipenda uone jinsi nitakavyokupenda.
 
Hapo kwenye simu mnazingua tu, mtu unamwambia kabisa muda huu na huu niko au nitakuwa bize, bado unakuta anapiga tu simu, ukipokea anasema nimekumiss sina jipya, huku ni kupotezeana muda, True love lazima kumisiana na mikausho uwepo, sio 24 hrs mnaongea tu au kuchat, ni lazima ipite walau siku 1 kimyaaa... Labda uwe mke kabisa.

Kila kitu ni kizuri kikifanywa kwa wakati unaostahili
Umeleweka muungwna......nawza kuwa nakutxt na kukpgia cm 24 hrs lkn kwa mtima haupo hta chembe!!!
 
na mwanamke usipende visivyo vyako. maana siku hizi hamuishi kuibiana mabwana.
 
Habari zenu waungwana, poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Ewe mwanaume thamini upendo unaoonyeshwa na mpendwa wako ipo siku utautafuta huo upendo utaukosa kila kona utakayokuwa unazunguka utakutana na cheche za moto huku ukiitafuta Amani ya mahusiano huioni.

Mwanamke akikupenda nakupenda kweli ,onyesha kujali hata mawasiliano yake, unapigiwa simu hupokei mbaya zaidi ukipata miscall yake humtafuti, ewe mwanaume ivi kweli una upendo au unatania?

Mwanamke anakuweka wazi mambo yake lakini wewe unajifanya hayakuhusu,bewe mwanaume nakuuliza huyo mwanamke ni mjinga kukwambia? Ipo siku utamtafuta hata wa kukwambia asset aliyonayo na umkose na itakuwa siri yake.

Kweli haya maisha ya mapenzi kuna wakati hayana maana yule unayempenda wewe yeye hakupendi anampenda mwingine muda na wewe hana kwanza ukimtafuta kwa ajili ya kumjulia hali ni shida.

Pale unapomshauri anasema hapendi malumbano, ukimwambia tutafute suluhu la hili tatizo anakata mawasiliano yenu.

Mwanaume usiyejali kuwa na nina mwenzangu ana umwa hata kumjulia hali huna muda, ipo siku yako utapata wa kukunyoosha.

Wacha niendelee kutafuta pesa kwanza mapenzi yatakuja yenyewe.

Ni maneno yangu kwa siku ya leo

Pale unapopata nafasi ya kupendwa pendeka “TRUE LOVE NEVER COME TWICE”
Achana na huyo f.ala, ana mtu mwingine anayemzuzua. Fanya yako, usimpe attention kabisa, inawezekana anakuchukulia kama side chick
 
Pole
Kuna baadhi sikio la kufa usipoteze muda dear fanya yako ingawa mwanzo inakuwa ngumu ila utazoea mdogo mdogo tu usiforce mapenzi
 
hilo dongo mbona kama ni lakwangu hiv..., asee wanaume wenzangu usiombe ukauchezea moyo wa mwanamke. Laana yake haiishi leo wala kesho, mm bado naendelea kula chamoto mpaka nishazoea sasa...
kamuombe msamaha alafu mwambie mrudiane ili usiendelee kula chamoto nachabaridi
 
kamuombe msamaha alafu mwambie mrudiane ili usiendelee kula chamoto nachabaridi
mmmh mkuu hapo ni kuomba msamaha bac maana ukisema mrudiane ndo atazid kukukomesha maana hawez tena kukuheshimu na kukupenda kama zaman so tumeishia kusameheana tu
 
Back
Top Bottom