Recent content by kahara

  1. kahara

    JamiiForums Tanzania MATI mna shida gani?

    Katika kufanya utafiti wangu wa kimchongo leo nimeona niongee huu upuzi niliohuona huku ni takribani mwa wa tatu sasa najaribu kuomba nafasi ya kusoma vyuo vya kati vya kilimo vinavyomilikiwa na serikali yaani MATI Nimejaribu kuomba pia vyuo vya mifugo vinavyomilikiwa na serikali chini ya wakala...
  2. kahara

    JamiiForums Tanzania Askofu Kilaini kuendelea kuwa Askofu Msaidizi

    Pengo alienda kushitaki mpaka kwa mzee wa Msoga vita ikafika mpaka Vatican ndo hakutupwa bukoba
  3. kahara

    JamiiForums Tanzania Ngoja niropoke

    Mim siwezi paparikia mwanamke hata awe boss vip amepewa nyusi anazikata ana jichora na penseli kuna ndugu yako huku hakihitwa tu anakimbia yaani utadhani anawahai msiba same milimani [emoji3]
  4. kahara

    JamiiForums Tanzania Fani ipi ina soko kati ya Excavator na Greda

    Fomu hiyo hapo
  5. kahara

    JamiiForums Tanzania Fani ipi ina soko kati ya Excavator na Greda

    Daka
  6. kahara

    JamiiForums Tanzania Pikipiki ya 110cc naweza kusafiri nayo umbali mrefu?

    Dar- Moro nimeenda mara kibao changamoto ipo maeneo ya uzomozi zone kuna baridi na upepo. Mwaka jana nimesafiri na pikipiki ya Sanlg choka mbaya toka maeneo ya Usevya nikapita kwenye mbuga ya katavi nikahunga strike,mpanda ,uvinza,kasulu huko kote skikutana na check point wala polisi nilipo fika...
  7. kahara

    JamiiForums Tanzania Nose tourch ya Corolla touring

    Shida nin hapo ukuelewa
  8. kahara

    JamiiForums Tanzania CRDB Bank Moshi huduma ni mbovu

    Tekiketi namba x003 nenda dirisha namba tatu ukienda sasa umkuti mtu wapo busy na smartphone kiukweli na matawi yao yote wapo hovyo hopless kabisa wanachojua kujaza watoto wao na ndugu zao. Eyewitness sio kuambiwa
  9. kahara

    JamiiForums Tanzania Nose tourch ya Corolla touring

    Kama mada tajwa hapo juu natafta nose tourch ya Corolla touring 1998 mwenye kujua jinsi ya kuipata au kuwa nayo. Naomba kuwasilisha
  10. kahara

    JamiiForums Tanzania Nimefika Kagera (Muleba) kutafuta maisha kwa mara ya kwanza, naombeni msaada

    Nenda Mutukula unaweza pata pa kuanzia ila Muleba na bukoba unajisumbua bure, wayoza na wazima wanaroho mbaya
  11. kahara

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anayejua chanzo cha Uhuru Kenyata na William Ruto kupishana atugusie kidogo...

    Ukimuangalia hata usoni anaoneka kabisa anakisasi
  12. kahara

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi wa alama hii ya barabarani

    Nimeambiwa nirudi baada mwezi mmoja[emoji38][emoji38]
  13. kahara

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi wa alama hii ya barabarani

    Habari wa jamvi nimekutana na swali kwenye usaili sehemu fulani nikabaki nashangaa maana sijawahi Kutana nayo kwenye barabara za Tanzania sasa naomba mwenye kujua atusaidie wengine tuelimimike pitia hapo chini
  14. kahara

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa mkoa wa Kagera ni washirikina sana tofauti na tunavyowachukulia

    Isiombe ukakutana na watu wa Karagwe,kykerwa,Muleba wengi wao utajiri na elimu zao wanazipata kutumia uchawi in short uwezi jua mpaka uwe na jicho la tatu
Back
Top Bottom