Sio shabiki wa siasa mimi,,,,na kwa ufupi hakuna siasa nchi hii,,,,yote yanaelekea kuwa siasa tu bali si siasa.
Hapa nadhani huu mjadala ungeenda kule jukwaa la Dini,,,,,tungejadili kidini zaidi,,,,mi nahisi wewe hukumwelewa,,,yeye aliongea kiimani na imeandikwa................
Alijifananisha na...