Hata bwana Yesu akitokea leo kuna watu wata mkana na Shibuda kuna watu bado wana muonabado ni mtu mwenye akili timamu daaaahh me nachoka huyu jamaa kashaakufa hayupo tena duniani kiakili make anachokiangalia sasa niwapi pa kubia njaa ili afike kesho kaanzia ccm kaja cdm now anataka kwenda act na...
Mfugaji wa ngombe au mkulima wa pamba ana dhamani 100% kuliko maprofesa wa bongo hakuna wanacho kifanya zaidi ya search njia za kutibu njaa zao mbaya zaidi wengine wanachangia kuharibu baadhi ya mambo na mifumo katika taifa letu check wizara ya elimu ilivyo sasa so My question kwa mtoa mada...
Wote wasaka tonge na wanapigana chini juu ili wa shike madaraka wakafichiane maovu ila Mungu yupo watanzania kataeni kurubuniwa kwa pombe khanga na t-shirt ili hali huna huakika wa mlo wa kesho hawa watu ni hatari tu waepukeni!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.