Sasa hapo ww unajitafutia matatizo bure maana utamforce huyo mwanamke ubaki naye na wakati ukweli ni hakupendi tena tayari ameshampenda mwanaume mwingine so mahari isikufanye uje kosa amani ndani yanyumba yako.
Jamni mm namba moja 1. ndio nakerwa nayo haswa yaani kuna wanaume kazi kununa mpaka kero unabembeleza mpaka unatamani na yy akuudhi umpe adabu jamani wajirekebishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.