Huu si uanaume, ni aibu

Huu si uanaume, ni aibu

Kama huyo aliyecomment hapo juu anatapatapa tu kisa mada imemgusa.

You are total waste of oxygen a failure and a saddist, watu kama wewe mnahitaji ushauri wa kisaokolojia. Kaa na ujinga wako.
 
Jamni mm namba moja 1. ndio nakerwa nayo haswa yaani kuna wanaume kazi kununa mpaka kero unabembeleza mpaka unatamani na yy akuudhi umpe adabu jamani wajirekebishe
 
Mkuu inamaana wanawake na watoto tena "watoto zaidi" wanafaa kuwekwa kwenye kundi moja? Huu ni udhalilishaji wa wanawake yaan wanawake wanaotupatia raha na utamu unawaweka level moja na watoto? Please Waombe radhi

hukumbuki kulikuwaga na wizara ya wanawake jinsia na watoto????
 
Kuna neno moja la Mxiiiiuuu sijui, yaan sijawahi kulielewa na wala kujua ni nn, lakn most of you guys ni kama fashion...

Lol nadhani ni kiswahili cha kawaida...

Ila kuweka x badala ya s ni uteenager
 
Back
Top Bottom