Inauma sana kwa kitendo cha kinyama namna hii wamelazimisha uione pepo kabla ya wakati ila r.i.p wewe mbele sisi nyuma mapambano ndiyo kwanza yameanza umeondoka kabla ya kupata ukombozi wa pili wa nchi yetu tzania ila ila tutaendelea pale ulipoishia.
Daaaah...kamanda alphonce mawazo jembe letu...
Mbowe ni jembe mpk lowasa na ujanja wake amenyoosha mikono na kusema alivyokuwa anamdhania mbowe ni tofauti kabisa. Na kwa mahal mbowe alipokitoa chama mpk kilipofika kwa sasa angekuwa mwingine angeshakimbia. Waasis wenyewe walikubali kumwachia chama aendelee kukiendesha mzee mtei na mzee wetu...
Nimefurahia hili wazo ni lizuri sana na pia naomben mrushe kwenye magroup ya whatsap pamoja na mitandao yote ya kijamii ili uhamasishaji uanze tangu sasa
Kama ni kwel mim naendelea kufurah na pia ccm waendelee kuiandaa kisaikolojia kuwa wapinzan ili nao wajue utamu wa mabomu kama tulivyoshuhudia kwa mara ya kwanza ccm kupigwa mabom dodoma ......
Mwaka huu mtafurah
Tumechoka na ccm na mwaka huu ccm itakuwa upinzan kama vyama vingine na nadhan mmeona kwa mara ya kwanza kuona ccm wanapigwa mabomu na bado ile ilikuwa inawatengenezea mazingira ya kujiandaaa kisaikolojia hy ilikuwa dodoma na mtafurah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.