lodamuno
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 143
- 14
Lema hana mpinzani Arusha.
Ndugu kumbuka siasa si chama ni mtu!
Na kama ndivyo basi kafanya nini?!!
Mwaka huu kwa bongo c vinginevyo Lema ni hoi bin taaban mm ni cdm pia mzee ila hapo cjipi moyo
Lema hana mpinzani Arusha.
Kwani lema sio msomi?!
Haijua Arusha vizuri analetewa taarifa Na watu, haingii mtaani akaona kinachoendelea, wafanyabiasha wanateseka Na Umeme hakuna, utalii tulifukuzwa Na kenya, Kiwanja cha kia kimekaa Na vindege vichache, kilombero wamama wanapigwa Na mgambo, mbauda wamachinga waliharibiwa vitu vyao Na greda mpaka Lema akaenda, wanajua kabla ya 2010, Arusha ilikuaje Na sana ikoje!!, Na tatizo ni ccm, Kama anagombea Chama kingine angepata.
Vp kwan jamaa hauna mpango wa kumpigia kura lema nn bana kada?mm familia yangu na machizi wangu tutampigia kura lema lowassa na diwani ambaye ata Simjui jina watake wasitakeNdugu kumbuka siasa si chama ni mtu!
Na kama ndivyo basi kafanya nini?!!
Mwaka huu kwa bongo c vinginevyo Lema ni hoi bin taaban mm ni cdm pia mzee ila hapo cjipi moyo
Vp kwan jamaa hauna mpango wa kumpigia kura lema nn bana kada?mm familia yangu na machizi wangu tutampigia kura lema lowassa na diwani ambaye ata Simjui jina watake wasitake
Mwisho wa vurugu,maandamano na matusi Arusha ni oktoba 25
Lema ni mwizi wa magari
Monaban kaishia darasa la nne kule bangata.
Kama ni tajiri angemsaidia mama yake mzazi anayeuza ndizi makunduu soko la ngulelo
Kuhusu sera rejea ilani ya ccm ambayo kila mgombea anakabidhiwa jukwaani mchana kweupe.
Ukawa walishatuambia ilani yao ipo kwenye tovuti na tulipokwenda huko tumekuta list of shame imefutwa ...tukastukia sera za UKAWA-2015 ni kuunga mkono ufisadi.