Hayo yote ni kwa wizara ya elimu, mtu akilala anamka na sera zake. ndo maana somo la kilimo lilifutwa na kurudishwa, masomo yakaunganishwa na baadae ikawa wanavyotaka Hivyo usishangae hata wakibadili.
Kuna aina za uraia 1. By birth, 2. Registration 3. Naturalization. Hivyo atakuwa amezingatia aina hizo. Hapa ni suala la nchi ili wapate raia wengi. Mbele kuna swali je watakuwa makini na laws za nch.
Mimi nashangaa kuona kama unaenda hospitali ya serikali unakaa folen halafu unaambiwa dawa ununue nje ya hospital. Hapo kuna hospitali, au nijue kwa utafiti wenu JamiiForum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.