Form six 2015 kufanya mtiani wa taifa mwezi wa pili

Form six 2015 kufanya mtiani wa taifa mwezi wa pili

Isaack Newton

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
619
Reaction score
371
Habari wakuu kuna tetesi kuwa NECTA wameridisha system ya zamani kwamba form six 2015 wanafanya mtihani wa taifa mwezi wa pili, je ni kweli? nimeuliza kwa sababu kuna jamaa amenipigia simu ameniambia hii ishu. Nimemuuliza source ni ITV.
 
Sijaisikia hii walosikia watakuja kutujuza hapa. Hao necta nao wanahangaika sana
 
Habari wakuu kuna tetesi kuwa NECTA wameridisha system ya zamani kwamba form six 2015 wanafanya mtihani wa taifa mwezi wa pili, je ni kweli? nimeuliza kwa sababu kuna jamaa amenipigia simu ameniambia hii ishu. Nimemuuliza source ni ITV.
anaefanya kazi ya kuchange mda wa kufanya mtiani si necta bali ni wizara ya elimu mkuu.necta wanafata sera zinazotungwa na wizara ya elimu
 
anaefanya kazi ya kuchange
mda wa kufanya mtiani si necta bali ni wizara ya elimu mkuu.necta
wanafata sera zinazotungwa na wizara ya elimu

Kwel mkuu?NECTA sindo wapo responsible na mitihan na ratiba zake?
 
Kwel mkuu?NECTA sindo wapo responsible na mitihan na ratiba zake?
NO.NECTA WANAPANGA RATIBA KUTOKANA NA WIZARA INAVYOPANGA KWANZA MIHULA.reference mwakajana form 6(2012/2013.kubadilishwa kwa mihula.ilianza wizarani alafu necta ndio wakabadilisha ratiba.wizara ikarudisha mihula ya high school vile vile ,na necta nao waka badilisha tena ratiba.
 
Hayo yote ni kwa wizara ya elimu, mtu akilala anamka na sera zake. ndo maana somo la kilimo lilifutwa na kurudishwa, masomo yakaunganishwa na baadae ikawa wanavyotaka Hivyo usishangae hata wakibadili.
 
Duu! nimeguswa sana maana hata mimi mwenyewe nilisoma physics with chemistry nikawa sielewi physics ipi na chemia ni ip
 
mtihani uko mwezi may na ratiba iko kwenye website ya necta tayari mbna unaleta habari za ITV hapa tena.
 
Back
Top Bottom