Recent content by kadoro

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hizi ndoto zina maana gani?

    Sio ndoto nzuri hizo una jini mahaba hebu Fanya mchakato kwa imani yako ya dini likae mbali
  2. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

    Hili nalo tatizo huoni kama unahukumu watu kwa makosa yaso yao. Usifanye hivo mkuu
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nashndwa kumuacha licha ya yote haya

    Mmezaliwa pamoja? Amka kijana hangaika na kutafuta pesa mke mwema atakuja hiyo si ridhiki yako Baba hamna mapenzi hapo kalaga baho
  4. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Share experiences kama umeshawahi kuuza au kununua Papuchi

    Walikukataza kumalizia???
  5. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimenasa kwa mchina

    Tule tumacho twao tuu looh
  6. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimenasa kwa mchina

    Utakoma tunasubiri mrejesho tuje kukuona Hospital gani mmezoea kuwadonoa mademu wa kibongo umeingia chaka sasa
  7. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya mpenzi wangu kupendelea kufanya tendo la ndoa gizani, nimegundua siri kubwa

    Njoo unikwangue Mimi nimechanikachanika kama pundamilia
  8. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa mwanamke anayejielewa

    Umefanikiwa kumpata?
  9. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Demu wangu anataka kufanya mapenzi kinyume na maumbile

    mwambie ushetani wake apeleke huko sodoma alikoutoa shubaamit mkubwa ndo hawa wanaofanya jua linazid kuwa kali dunian
  10. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tunaishi kama mke na mume lakini hana mpango wa kunioa, nifanyeje?

    chukya hatua mapemaaaaaa unapoteza muda hapo mama
  11. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke wa kiislam

    Nipm nikupe mchumba mkiridhiana heri
  12. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Subira yavuta heri, ipo siku utampata mtu sahihi

    Afadhal unifariji nafuta macho nasonga mbele kumsubiri nloandaliwa
  13. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ni kosa kuoa mwanamke mwenye mtoto?

    Usimpotoshe mwenzio si kila mwenye mtoto anashida ya kulelewa mtoto wake.
  14. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeanza kuzini na mama mkwe. Alikuwa ananitega mwenyewe

    Tusamehe mungu baba sisi viumbe wakosaji
  15. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania " Hakuna mwanaume mwenye ubavu wa kuniacha..." Dida

    Mara Tartu mkuu
Back
Top Bottom