Recent content by Kadinali Wambura

  1. Kadinali Wambura

    Msaada: Kwa hapa nchini naweza kupata wapi mafunzo ya ngumi?

    Umempa ushauri sahihi kabisa hizo martial art asijaribu atapata kilema cha ukubwani acheze boxing ila kama unawiwa nikupe namba ya Sensei akutoe machozi mtu mzima
  2. Kadinali Wambura

    Natamani kuwa na mahusiano lakini mabinti wanakataa kabisa. Nifanye nini?

    Du!!!... Hatari nadhani level yako ya Bakari nondo MwaMnyeto ni PhD ukipunguza kidogo tu wachumba hawa hapa. Ila pia msikilize sana Dr mandai
  3. Kadinali Wambura

    Tabia ya wadada kuvaa tishet au blauz na kuacha maziwa yamening'inia ina maana gani?

    Dah.... maisha haya huyu mtoto nimefungua dimba mwenyewe nimepiga sana ilikua bado kidogo nichezee 30 years ila kimafia nilimdindia mshua wake na alikua poti na mama nae poti mziki ulikua wa moto jangwani sec pale ila mura nikatoboa japo nilitikiswa mpaka financially
  4. Kadinali Wambura

    Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!

    Pascal Mimi nqona makonda yuko sawa na huu utaratibu wakudeal na mawaziri Balozi Polepole alikua ameuanza kwenye kituo kimoja cha matangazo.
  5. Kadinali Wambura

    Barua ya wazi(Open letter) kwako Fredrick Bundala Skywalker

    Victoria fm ya malima kwasakwasa Bundala akiendesha kipindi cha amka na majoka ila sidhani kama Fred ni class of 2008
  6. Kadinali Wambura

    Simulizi: Msegemnege

    9
  7. Kadinali Wambura

    Mpiga picha wa Konde Gang aondoka rasmi

    Manoni yangu Huyu kijana kapunguzwa na Sebastian Ndege nahisi ndo supply mkubwa wa Sigara bwege kwa Harmonize. Hivyo nahisi baada ya Dr kurejea kumsimamia Mmakonde akaamua kupunguza vijana wote wanao onekana kumshawishi bwana konde kutumia sigara bwege Nijambo Jema kabisa
  8. Kadinali Wambura

    Baraza la Ardhi la wilaya ya Ubungo, ofisi zao ziko sehemu gani?

    Nenda luguruni pale utapewa appointment maana kuna kesi nyingi mnoo ila naamini ofisi ni sikivu itashughulikia swala lako. Kadinali Wambura.
Back
Top Bottom