Recent content by Kadhi Mkuu 1

  1. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Kila nikipanga kuanza mazoezi na diet naishia njiani, hii kitu yataka moyo

    Unataka kujitesa ili usife?
  2. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania KERO:Polisi ni wezi na matapeli wa mali za watu

    Hakuna tofauti, maana mchana wanavaa sare, usiku wanavua sare. Ni walewale.
  3. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Miaka 42 sasa ya kuzaliwa na 30 ya uzoefu wa ngono sijawahi mpata mwanamke BIKRA

    Yaani huyu mstaafu kabisa kwenye EPL, ila huku eti anasaka Bikra!
  4. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Esma platinumz; Diamond ni ndoto ya kila mwanamke ukinitoa mimi dada yake

    Siri nyingine za ndani, ukiona mwanamke anamuonea wivu mwanaume ujue kuna Jambo haijalishi ni ndugu ama la.
  5. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Esma platinumz; Diamond ni ndoto ya kila mwanamke ukinitoa mimi dada yake

    Siyo kakaake wa damu, mama Yao alisema Baba yake naseeb alishafariki, huyo ni mtoto wa michepuko.
  6. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Leo hii ukiwa haupo duniani, unahisi ni nani atateseka kwa kutokuwepo kwako?

    Ukifa wewe mkeo anaenda kwa mpenzi wake. Hawezi kuteseka.
  7. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Nashauri Nashauri mabikra wavae shela za rangi ya zambarau.
  8. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Taabu na Pombe ni Kaka na Dada

    Mbona unapingana na neno Hilo la mithali 31? Neno linasema mpe pombe huyo mwenye uchungu nafsini. Huelewi nini au mstari umekosewa?
  9. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Watanzania Wanaishi kwa Uoga, Wanaogopa Kutekwa, Kupotea na kubambikiwa Kesi za Uhaini

    Kasema kuhusu kumkamata Yule mhadhiri aliyekuwa anafanya KAZI yake ya kufundisha. Au kichwa chako kigumu kuelewa?
  10. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Kwa hali ilivyo ndani ya CHADEMA, huenda John Heche akajiuzulu kabla ya kubanduliwa madarakani na mkutano wa baraza kuu la chadema taifa mwezi ujao..

    Kwani Samia nae ni mjita au mkurya? Msipende uchawa usio na akili
  11. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Mambo ya nabii Tito tena?
Back
Top Bottom