Recent content by Kadhi Mkuu 1

  1. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Nchimbi ni Shujaa wa Taifa au kajiuzulu kwasababu zake?

    Sidhani kama tutafika, CCM Wote jehanan.
  2. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Huyo siyo mke wako, ngoja mme wake arudi, wewe endelea kumtunzia.
  3. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

    Na madereva wawe waislam, muda wa swala ukifika wanasimama tunaswali. Tukimakiza la misikiti kwenye sgr tunaenda kwenye mabasi ya masafa marefu kila stand serikali ijenge msikiti na lazima mabasi kusimama wakati wa swala.
  4. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

    Kuabudu kibra? Ukifahamu uelekeo kwa kibra tayari unaswali?
  5. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Rukwa: Wananchi wateketeza kwa moto shamba la mwekezaji wakitafuta panya kwa ajili ya kitoweo!

    Hii dunia tungekaa waafrika peke yetu, wazungu nao wangeumbiwa sayari Yao, nadhani tungesha ichoma yote. Akina Kibwetere wangeshaifikisha tamati.
  6. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nitongoze mtoto wa mtu! Hili lililo Nikuta limenifunza kitu MJINI hapa

    Ni akili za kijinga tuu, sasa kwenye maisha yako ukishakula na kunywa kwa namna hiyo unabadilije maisha yako? Unabaki ombaomba wa kila wiki.
  7. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania CCM wanalilia salamu za rambirambi kutoka CHADEMA.

    Lissu Yuko gerezani zaidi ya mwaka na haonani hata na mawakili wake wala mkewe. Wewe uko na uhusiano gani na Lissu Hadi ujue mawazo yake kwamba anakejeli tuu?
  8. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Deni limenifunga kazini nataka kutoroka nikalipe kidogo kidogo

    Sh laki tatu kweli ukimbie? Hizo hata nauli haitoshi. Ukija kwangu kama Una bidii ya kulima ni wiki mbili tuu unaondoka na hizo lk 3.
  9. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Biblia ya kweli ni ipi? Injili ya Wagnostiki ina nafasi gani kwenye Ukristo?

    Kwani vikiwa 72 haliwi neno la Mungu? Maana kuna biblia ina vitabu 72 wanatumia mapadre wakatoliki.
  10. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Deni limenifunga kazini nataka kutoroka nikalipe kidogo kidogo

    Atakuwa Mpwayungu Village huyu maana ndo mwenye mada kama hizi.
  11. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu yatengua uamuzi wa kumfukuza mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha St John kwa tuhuma za udanganyifu wa kiteknolojia

    Itabidi mitihani yake isahihishwe kwa kupitia usimamuzi wa mahakama. Maana akifukuzwa kwa kufeli Masomo hawezi kwenda kushtaki popote.
  12. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuache kutengeneza taharuki. Kama Nchimbi ana shida familia yake ingesema

    Unamjua MTU yeyote kwenye familia ya Nchimbi aliyesema anajua aliko ndugu Yao?
  13. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Nani alitudanganya sisi wamatumbi kuwa AZUMA , ni dawa ya U.T.I?

    Kumbe hata wewe hujui dawa za UTI? Sasa ynawalaumuje wamatumbi?
Back
Top Bottom