Recent content by Kadhi Mkuu 1

  1. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Leo hii ukiwa haupo duniani, unahisi ni nani atateseka kwa kutokuwepo kwako?

    Ukifa wewe mkeo anaenda kwa mpenzi wake. Hawezi kuteseka.
  2. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Nashauri Nashauri mabikra wavae shela za rangi ya zambarau.
  3. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Taabu na Pombe ni Kaka na Dada

    Mbona unapingana na neno Hilo la mithali 31? Neno linasema mpe pombe huyo mwenye uchungu nafsini. Huelewi nini au mstari umekosewa?
  4. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Watanzania Wanaishi kwa Uoga, Wanaogopa Kutekwa, Kupotea na kubambikiwa Kesi za Uhaini

    Kasema kuhusu kumkamata Yule mhadhiri aliyekuwa anafanya KAZI yake ya kufundisha. Au kichwa chako kigumu kuelewa?
  5. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Kwa hali ilivyo ndani ya CHADEMA, huenda John Heche akajiuzulu kabla ya kubanduliwa madarakani na mkutano wa baraza kuu la chadema taifa mwezi ujao..

    Kwani Samia nae ni mjita au mkurya? Msipende uchawa usio na akili
  6. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Mambo ya nabii Tito tena?
  7. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Pamoja na Umasikini Wetu, Kamwe Tusikubali Kuwanyenyekea Matajiri Wanaotunyanyasha kwa Jeuri ya Pesa Zao!, Ili Kujenga Heshima, Tuwe Masikini Jeuri?

    Toka Uhuru tumeongozwa na Marais 5 waliokopa jumla tr 54, huyu wa 6 kakopa tr 59 peke yake. Hiyo jeuri tuitoe wapi?
  8. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Picha: Maulidi ya mfungo sita Wete Pemba.

    Jana Maulidi ya mfungo sita Wete Pemba ilifana Sana. Allah Akbar.
  9. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba: Kwa manufaa ya umma, kwa nini Tundu Lissu asiachiwe kama watuhumiwa wengine wa uhaini walioachiwa?

    Kwani hakuna uwezekano Lissu akatiwa hatiani? Kwanini kila siku mnafikiria aachiwe tuu? Kama hakuna uwezekano wa kutiwa hatiani sasa kelele za nini tungoje aachiwe.
  10. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Hongera waziri Katambi wimbi la watukanaji kwenye social media limeanza kupungua

    Hawa mafisadi waliojaa huko CCM kumbe ni watukanaji?
  11. Kadhi Mkuu 1

    JamiiForums Tanzania Rasmi najiingiza kwenye mziki kama msanii wa bongo fleva. Save the date, 7 October

    Tumekusikia Civilian Coin.
Back
Top Bottom