Na madereva wawe waislam, muda wa swala ukifika wanasimama tunaswali.
Tukimakiza la misikiti kwenye sgr tunaenda kwenye mabasi ya masafa marefu kila stand serikali ijenge msikiti na lazima mabasi kusimama wakati wa swala.
Lissu Yuko gerezani zaidi ya mwaka na haonani hata na mawakili wake wala mkewe. Wewe uko na uhusiano gani na Lissu Hadi ujue mawazo yake kwamba anakejeli tuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.