Recent content by Kadhi Mkuu 1

  1. Kadhi Mkuu 1

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Mtu yuko jijini katikati ya nchi wewe uende msituni kutafuta nini?
  2. Kadhi Mkuu 1

    Tujenge kabisa wanajf

    Mama mchungaji ni MKE WA MCHUNGAJI. Mwenye kanisa anakuwa mchungaji.
  3. Kadhi Mkuu 1

    Sasa Nahitaji Mke

    Nimestaajab! Unatangaza ndoa hadi na single mother! Ubarikiwe sana na single mama.
  4. Kadhi Mkuu 1

    Aliyemnywesha pombe mtoto anasakwa na polisi

    Ndo nimekwambia huyo single maza hajui baba wa mtoto, akiambiwa ataje baba wa mtoto atachomekea mume wa mtu yeyote tu aliyewahi kumwagia ndani.
  5. Kadhi Mkuu 1

    Tanzania kuandika historia kwa kufanikisha Taifa Stars kufuzu Kombe la Dunia 2026.Play-Off Match ndio Itaamua

    CCM wamezoea kuiba kura, wanadhani wanaweza pia kuiba points kwenye haya mashindano. Tanzania hawezi kufuzu haya mashindano sababu hana uwezo wala hatakuwa kwenye huo mtoano wa best loosers.
  6. Kadhi Mkuu 1

    Aliyemnywesha pombe mtoto anasakwa na polisi

    Huyo single maza, msitafutie matatizo waume za watu.
  7. Kadhi Mkuu 1

    Msikiti wa Majini (Masjid al-Jinn) ni moja ya sehemu za kipekee mjini Makkah

    Allah kaumba vyote. Siyo majini tu, kaumba nguruwe, nyoka, ngamia nk.
  8. Kadhi Mkuu 1

    Msaada tafadhari: Tiktok inamfundisha shemeji yangu ushoga

    Pita nae! Mada nyingine za kisenge sana.
  9. Kadhi Mkuu 1

    Wananchi Mbeya mnapoteza golden chance ya kumhoji Rais juu ya alipo Mdude Nyagali CHADEMA

    Sasa nyie chadema mmeshindwa kuandaa hayo mabango hadi muwatume wana CCM?
  10. Kadhi Mkuu 1

    Hii ni sawa na Barcelona vs Toto Africa ya Mwanza

    Kwanza hakuna mashindano yoyote duniani yanayoshindanisha Barcelona na Toto Africa hapa duniani. Huu ni uthibitisho kwamba hakuna uchaguzi mwaka huu. Mwenyewe umeona kitu hiki hakipo.
  11. Kadhi Mkuu 1

    Temeke: Jinsi Tozo inayoitwa SERVICE LEVY inavyokomesha Wafanyabiashara

    Yeah, October siyo mbali. Rais wa mioyo anaenda kuapishwa kutawala mioyo yote Tanzania.
  12. Kadhi Mkuu 1

    Naomba muongozo biashara ya MASSAGE

    Wafanyakazi wako wakiwa period itabidi wewe utumike kukata hiyo minazi.
Back
Top Bottom