CCM wamezoea kuiba kura, wanadhani wanaweza pia kuiba points kwenye haya mashindano.
Tanzania hawezi kufuzu haya mashindano sababu hana uwezo wala hatakuwa kwenye huo mtoano wa best loosers.
Kwanza hakuna mashindano yoyote duniani yanayoshindanisha Barcelona na Toto Africa hapa duniani.
Huu ni uthibitisho kwamba hakuna uchaguzi mwaka huu.
Mwenyewe umeona kitu hiki hakipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.