Recent content by Kadegree

  1. K

    Hali ya walimu ni mbaya serikali wapeni kipaumbele

    Hao walimu wanalipwa nauli na gharama za kulala njiani kulingana na umbali/ mkoa alikotoka. Mshahara wake hauathiriwi na chochote, huyo kakudanganya kabisa.
  2. K

    Hali ya walimu ni mbaya serikali wapeni kipaumbele

    Huyo atakuwa amekudanganya hakuna malipo ya namna hiyo. Ameshindwa kukuweka wazi yawezekana unamdai au posho aliyoipata kaitumia vibaya.
  3. K

    Fumanizi la mama mwenye nyumba

    Nimevipenda visa vyako mkuu.
  4. K

    Morega Simon Mongate. Wahusika wataelewa!

    Wanasema huyu ni mtu wa kitengo, kwasasa yupo huko Bukoba kama Afisa Elimu Sekondari. Ila yule jamaa kwenye masuala ya uongozi na utawala ameiva sana.
  5. K

    Semeni yote kuhusu Lissu lakini kuna ambao kwao ni zaidi ya mtetezi

    Kiukweli Mh. Lissu naweza kumuita Great hero maaana mi binafsi pia alishawahi kunisaidia. Pia, nakumbuka huyo mzee baada ya kushinda kesi alihamia CHADEMA hadi leo na alikuwa ni diwani wa kudumu mpaka 2010. Tuendelee kumuombea mh. Tundu apone mapema.
  6. K

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida apata ajali. Hali yake si Nzuri, yupo Kiomboi Hospital

    Mwenyezi Mungu amponye yy pamoja na family yake.
  7. K

    Safi sana wabunge wa UKAWA

    Hakika Dr. Slaa alikuwa ni mwanaume katika kutafuta na kutetea haki za wanyonge. Zitto pia huwa harudi nyuma katika kutetea maamuzi sahihi. Miaka ya nyuma wawakilishi wa upinzani bungeni walikuwa ni wachache lakini wenye ueledi katika kazi yao. Kinachoendelea saa hizi ni kama maigizo tu...
  8. K

    Yaliyojiri katika mahafali ya CHASO mbele ya Edward Lowassa - Karimjee Hall, Dar

    Kwanini fedha kama hizi tusiziwekeze hata kwenye miradi ya barabara na maji? Vijijini hadi leo maji na barabara nzuri tumebaki kuviona kwenye T.V. Kwanini wanaharakati msitusaidie kwa hili ili tuweze kuwa na usawa? Ushauri wangu jaribuni kufanya makongamano vijijini na kuhamasisha shughuli za...
  9. K

    Yaliyojiri katika mahafali ya CHASO mbele ya Edward Lowassa - Karimjee Hall, Dar

    Hao vijana wa CHASO wametoa wapi fedha za kukodi ukumbi wa Karimjee?
Back
Top Bottom