Hao walimu wanalipwa nauli na gharama za kulala njiani kulingana na umbali/ mkoa alikotoka. Mshahara wake hauathiriwi na chochote, huyo kakudanganya kabisa.
Kiukweli Mh. Lissu naweza kumuita Great hero maaana mi binafsi pia alishawahi kunisaidia. Pia, nakumbuka huyo mzee baada ya kushinda kesi alihamia CHADEMA hadi leo na alikuwa ni diwani wa kudumu mpaka 2010.
Tuendelee kumuombea mh. Tundu apone mapema.
Hakika Dr. Slaa alikuwa ni mwanaume katika kutafuta na kutetea haki za wanyonge. Zitto pia huwa harudi nyuma katika kutetea maamuzi sahihi. Miaka ya nyuma wawakilishi wa upinzani bungeni walikuwa ni wachache lakini wenye ueledi katika kazi yao. Kinachoendelea saa hizi ni kama maigizo tu...
Kwanini fedha kama hizi tusiziwekeze hata kwenye miradi ya barabara na maji? Vijijini hadi leo maji na barabara nzuri tumebaki kuviona kwenye T.V. Kwanini wanaharakati msitusaidie kwa hili ili tuweze kuwa na usawa? Ushauri wangu jaribuni kufanya makongamano vijijini na kuhamasisha shughuli za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.