Recent content by Kada wa CHADEMA

  1. Kada wa CHADEMA

    Raia mmoja akamatwa akihusishwa na mauaji Pwani

    Kama yule Bollen Ngeti ambaye kwa sasa haijulikani wapi alipo
  2. Kada wa CHADEMA

    Raia mmoja akamatwa akihusishwa na mauaji Pwani

    Hatua nzuri. Ila walipaswa kumkamata wakati huo huo alipotangaza kuwa yatatokea mambo ya hatari baada ya Eid. Wananchi wanapaswa kulaumiwa kwa kutofikisha taarifa sahihi kwa vyombo vya usalama
  3. Kada wa CHADEMA

    Rais Magufuli akutana na wataalamu wa umeme kutoka Ethiopia, asema 3% ya eneo la Selou litatumika

    Kwa utawala huu wa Rais Magufuli, wapinzani tutafute kazi nyingine ya kufanya
  4. Kada wa CHADEMA

    Taarifa za kukanusha tuhuma za audio inayosambazwa ikumhusu Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe

    Kuna mambo yanakera na yanasikitisha. Aibu ya Mbowe ni aibu yetu sote wana CHADEMA. Kilichofanywa na Mbowe kukiuka maadili kwa kweli hapaswi kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA hata kwa nukta moja. Hili ni jambo zito amelifanya mwenyekiti wetu. Kama angejua uwajibikaji, kwa kweli angetangaza...
  5. Kada wa CHADEMA

    TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

    Inauma sana aiseeee. Lazima uchunguzi wa kina ufanyike. Vita ya madaraka mbaya sana
  6. Kada wa CHADEMA

    Haiwezekani tushindwe kuchukua maamuzi juu ya rasilimali zetu kwa kuogopa nchi tajiri

    Inanikera, inanisikitisha na kunihuzunisha. Tuliokuwa watetezi wa rasilimali za nchi hii leo hii tumegeuka kuwa makuwadi wa mabepari na mabaka uchumi wa nchi hii. Hatujielewi na hatujitambui ama tumelamba chochote kitu kutoka kwa ACACIA. Leo hii mtu na akili zake eti anasimama kupinga uamuzi wa...
  7. Kada wa CHADEMA

    Tetesi: Polepole asema CHADEMA ruksa kutumia Dodoma Convention Centre

    Aliyeomba ukumbi huo anajua kwa nini amefanya hivyo
  8. Kada wa CHADEMA

    Mbowe ana majina yake Mfukoni Ubunge wa Afrika ya Mashariki

    Imeniuma na imenisikitisha sana. CHADEMA sasa tumekubuhu kwa kuibaka Demokrasia na sasa tunaibaka waziwazi bila ya kificho. Mtakumbuka kuwa Wabunge walioteuliwa na chama chetu kwenye abunge la Afrika ya Mashariki, Wenje na Masha walikataliwa Bungeni kwa kupigiwa kura za hapana. Hali hiyo...
  9. Kada wa CHADEMA

    Wapi alipo Kamanda Tundu Lissu? Au ilikuwa mzuka wa TLS?

    Huyu Kamanda alitusaidia sana kuiwajibisha Serikali yetu. Alitusaidia kuibua ajenda za kuipiga CCM kwenye mitandao ya kijamii. Alikuwa ni Jeshi la Mtu mmoja ambaye alijitolea kupambana na Serikali ili kunusuru chama chetu CHADEMA. Nilimuamini na nikajua tumepata mgomba Urais sahihi wa 2020...
  10. Kada wa CHADEMA

    CHADEMA tunawajibika kumuomba radhi Rais Magufuli kama tunataka kufika salama 2020

    CHADEMA tumekosea sana na tunaendelea kukosea. Tumemkosea Rais Magufuli na tumewakosea Watanzania. Tuna wajibu wa kumuomba radhi Rais Magufuli na Watanzania kama tunataka kufika salama 2020. Tanzania ilioza sana. Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ally Hassan Mwinyi hakukosea aliposema kuwa nchi...
  11. Kada wa CHADEMA

    Rais wangu Magufuli, Mwigulu Nchemba yupo kwenye mgomo na ndiye anayewalisha akina Bashe maneno

    Nakubaliana na wewe. Wanachofanya akina Mwigulu ni kujipoteza kisiasa. Mwigulu yupo mguu ndani mguu nje ndani ya CCM.
  12. Kada wa CHADEMA

    Rais wangu Magufuli, Mwigulu Nchemba yupo kwenye mgomo na ndiye anayewalisha akina Bashe maneno

    CCM wamefanikiwa kuteka mitandao ya kijamii. CHADEMA tumepoteana na sasa tunafuata mkumbo
Back
Top Bottom