CHADEMA tunawajibika kumuomba radhi Rais Magufuli kama tunataka kufika salama 2020

Kada wa CHADEMA

JF-Expert Member
Feb 27, 2016
289
616
CHADEMA tumekosea sana na tunaendelea kukosea. Tumemkosea Rais Magufuli na tumewakosea Watanzania. Tuna wajibu wa kumuomba radhi Rais Magufuli na Watanzania kama tunataka kufika salama 2020.

Tanzania ilioza sana. Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ally Hassan Mwinyi hakukosea aliposema kuwa nchi inaenda kama gari bovu. Hakukosea na msimamo wake ni valid hata leo kutokana na matukio yafuatayo;

1. Kukithiri kwa vyeti feki hasa kwenye ajira Serikalini

2. Uwepo wa wafanyakazi hewa

3. Ufisadi, wizi na ubadhilifu wa mali za umma

5. Usimamizi mbovu wa rasilimali za nchi na kusababisha madini kusafirishwa nje ya nchi kama mchanga usio na thamani

6. Uzembe kazini

7. Miundombinu mibovu

8. Kasi ndogo katika uwajibikaji kwenye sekta ya umma

9. Kufa kwa mashirika ya umma kama TTCL, ATCL, TRL nk.

10. Safari za nje zisizo na tija kwa taifa nk.

Thanks God. Kamleta mtu wa kuweza kututatulia matatizo hayo. Tena kajitolea kwa moyo thabiti na bila kuogopa. Cha kushangaza sisi kama chama kikuu cha upinzani tunajitokeza na kupambana naye. Mbaya zaidi si kwamba tunapambana kwa hoja bali vioja. Watanzania wanatushangaa na dunia nzima inatushangaa.

Ka hii aibu tunayolitia taifa letu, tuna wajibu mkubwa wa kuungama kwa Mwenyezi Mungu na kumuomba radhi Rais Magufuli. Kinyume cha hapo mjue kuwa tunapoteza kila kitu kwa maana laana ya Mungu itakuwa miguuni mwetu.
 
Chadema wana laana ya kitaifa pia..walituambia kwa miaka nane lowasa ni mtu mchafu fisadi asiyesafishika na hafai hata kuwa Katibu kata..wakatusimamishia kama mgombea urais..walituambia JK ni rais wa ajabu kuwahi kutokea, mzembe na dhaifu anayewaogopa waliopo chini yake..leo wanatuambia wamemmiss maana alikuwa rais bora kuwahi kutokea.
 
Chadema wana laana ya kitaifa pia..walituambia kwa miaka nane lowasa ni mtu mchafu fisadi asiyesafishika na hafai hata kuwa Katibu kata..wakatusimamishia kama mgombea urais..walituambia JK ni rais wa ajabu kuwahi kutokea, mzembe na dhaifu anayewaogopa waliopo chini yake..leo wanatuambia wamemmiss maana alikuwa rais bora kuwahi kutokea.
chadema tunakizika rasmi 2020
 
CHADEMA tumekosea sana. Tumemkosea Rais Magufuli na tu ewakosea Watanzania. Tuna wajibu wa kumuomba radhi Rais Magufuli na Watanzania kama tunataka kufika salama 2020.

Tanzania ilioza sana. Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ally Hassan Mwinyi hakukosea aliposema kuwa nchi inaenda kama gari bovu. Hakukosea na msimamo wake ni valid hata leo kutokana na matukio yafuatayo;

1. Kukithiri kwa vyeti feki hasa kwenye ajira Serikalini

2. Uwepo wa wafanyakazi hewa

3. Ufisadi, wizi na ubadhilifu wa mali za umma

5. Usimamizi mbovu wa rasilimali za nchi na kusababisha madini kusafirishwa nje ya nchi kama mchanga usio na thamani

6. Uzembe kazini

7. Miundombinu mibovu

8. Kasi ndogo katika uwajibikaji kwenye sekta ya umma

9. Kufa kwa mashirika ya umma kama TTCL, ATCL, TRL nk.

10. Safari za nje zisizo na tija kwa taifa nk.

Thanks God. Kamleta mtu wa kuweza kututatulia matatizo hayo. Tena kajitolea kwa moyo thabiti na bila kuogopa. Cha kushangaza sisi kama chama kikuu cha upinzani tunajitokeza na kupambana naye. Mbaya zaidi si kwamba tunapambana kwa hoja bali vioja. Watanzania wanatushangaa na dunia nzima inatushangaa.

Ka hii aibu tunayolitia taifa letu, tuna wajibu mkubwa wa kuungama kwa Mwenyezi Mungu na kumuomba radhi Rais Magufuli. Kinyume cha hapo mjue kuwa tunapoteza kila kitu kwa maana laana ya Mungu itakuwa miguuni mwetu.
Running out of ideas
 
Chadema kila mtu anawashangaa huku mtaani. Badala ya kumuunga mkono rais wao wanapambana naye. Kila mtu amekata tamaa kuwasikia. Rais anaonekana shujaa kwa sababu tunamfanya aonekane hivyo. Matatizo ya watu yanatatuliwa kila siku.
Lengo la watanzania haikuwa mikutano ya siasa Bali kutatua changamoto zao.

Zaidi sana watanzania wanawaona wapinzani kama wanapigania maslahi yao ni si ya nchi kwa ujumla. Kwa mwwenendo huu Wa rais hakiyamungu 2020 upinzani utakuwa umepotea labda wabadili style waanze kuungana na rais. Kada ya wasomi ambao walisahaulika sasa wanamsema jpm vizuri sana mana anaingoza hii nchi kwa kuwasililiza wao tu. Teuzi zote kuwa maprof na madoctor siyo kwa bahati mbaya bali strategic plan nzuri sana.
Tumeanza kusikia akina zitto wakilia eti walipaswa wateuliwe wao kwenye tume ya rais kuhusu kukagua mchanga na madini kwa ujumla. Hapo mnawaambia watu kwamba mlikuwa mnatajirikia hapo sasa mmenyimwa ulaji ambo uliliwa haramu.
Kwa kweli watanzania wamewakatia tamaa sana na naaema u kweli kabisa.
Huku kitaa jpm anaoneka shujaa sana anagusa mojakwamoja shida za watu wanyonge kama mabweni n.k.
 
Chadema kila mtu anawashangaa huku mtaani. Badala ya kumuunga mkono rais wao wanapambana naye. Kila mtu amekata tamaa kuwasikia. Rais anaonekana shujaa kwa sababu tunamfanya aonekane hivyo. Matatizo ya watu yanatatuliwa kila siku.
Lengo la watanzania haikuwa mikutano ya siasa Bali kutatua changamoto zao.

Zaidi sana watanzania wanawaona wapinzani kama wanapigania maslahi yao ni si ya nchi kwa ujumla. Kwa mwwenendo huu Wa rais hakiyamungu 2020 upinzani utakuwa umepotea labda wabadili style waanze kuungana na rais. Kada ya wasomi ambao walisahaulika sasa wanamsema jpm vizuri sana mana anaingoza hii nchi kwa kuwasililiza wao tu. Teuzi zote kuwa maprof na madoctor siyo kwa bahati mbaya bali strategic plan nzuri sana.
Tumeanza kusikia akina zitto wakilia eti walipaswa wateuliwe wao kwenye tume ya rais kuhusu kukagua mchanga na madini kwa ujumla. Hapo mnawaambia watu kwamba mlikuwa mnatajirikia hapo sasa mmenyimwa ulaji ambo uliliwa haramu.
Kwa kweli watanzania wamewakatia tamaa sana na naaema u kweli kabisa.
Huku kitaa jpm anaoneka shujaa sana anagusa mojakwamoja shida za watu wanyonge kama mabweni n.k.
Nguvu uliyotumia kuandika hapa ungeitumia kutafuta kipato halali bila kuwalamba makalio hao waliokutuma taifa lingesonga mbele
 
Nguvu uliyotumia kuandika hapa ungeitumia kutafuta kipato halali bila kuwalamba makalio htena. aliokutuma taifa lingesonga mbele
Taiga litasongaje mbele wakati nyie mmwjipambanua kuwa ni vikwazo Wa maendeleo. Kila kitu kiziri nyie ni kero kwani platform ya kuongea hamna tena
 
Taiga litasongaje mbele wakati nyie mmwjipambanua kuwa ni vikwazo Wa maendeleo. Kila kitu kiziri nyie ni kero kwani platform ya kuongea hamna tena
Hahahahahaaaaaaa! Siku hizi CHADEMA hawana kick tena. Aibu
 
Back
Top Bottom