Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mwananchi mmoja mkazi wa kijiji cha Mchukwi yalipotokea mauaji ya watu wawili usiku wa kuamkia leo, (jina linahifadhiwa kwa sababu maalumu) amekamatwa na Jeshi la Polisi kufuatia taarifa kwamba aliwatangazia wanakijiji kwamba baada ya mwezi wa Ramadhani yatatokea mambo ya hatari.
Taarifa kutoka kijijini hapo zinasema kuwa baada ya taarifa za maujai hayo mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro alifika eneo la tukio leo.
Waliouawa ni mwenyekiti wa kijiji cha Mangwi kata ya Mchukwi wilaya ya Kibiti Hamis Bakari Mkima na mtendaji wa kijiji hicho Shamte Rashid.
Taarifa kutoka kijijini hapo zinasema kuwa baada ya taarifa za maujai hayo mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro alifika eneo la tukio leo.
Waliouawa ni mwenyekiti wa kijiji cha Mangwi kata ya Mchukwi wilaya ya Kibiti Hamis Bakari Mkima na mtendaji wa kijiji hicho Shamte Rashid.