Alikuwa Na urafiki kabla ata ajafunga ndoa Na wewe . Utamchagulia mpaka lini mumeo marafiki ... Lipiza Basi nayeye aumie si 50/50 .. mpe limbwata awe zuzu Na akiwa zuzu yeye Na kizazi chake watoto wenu watakuwa masikini mbwa milele amini ... Dai talaka Basi ...ko kama nimefunga ndoa Na ww...
Mzee rungwe Kwa masikitiko anaeleza kuwa binti yake Na mkwee walitekwa. Lakini watekaji awakutaka chochote toka kwake .walikaa Na mwanae wiki kisha kumtupa usiku mitaa ya sinza .pia mkwee walikaa nae miezi minne ndipo wakamwachia.
Mzee rungwe anasema kutekana ni mambo ya kishamba
Ushaidii...
Nipo ubungo River side . naitaji mtu ataye nipa mafunzo ya kutumia Adobe Photoshop Na Adobe premiere.
Nita fidia mda wake Kwa pesa tutayo kubalia kutokana Na mafunzo ..
Kwa yoyote mwenye kujua kutumia vizur izi program anisaidie
Naitaji kujua ni laptop yenye uwezo upi ambayo itanifaa katika matumizi haya
Graphics Disign
Photoshop
Video editing
Kwenye video editing naitaji kutumia program izi
Adobe premiere
Adobe Photoshop
Adobe after effect
Pia naitaji kuitumia kutengeneza bet Na kufanya products za music
Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.