Master Jay wa BSS unaboa

Kalpana

JF-Expert Member
Jun 16, 2017
26,792
49,860
Master Jay una boa wewe jamaa. Hizi ni chuki za wazi kabisa kwa mshiriki Aboubakari. Haiwezekani wiki tatu mfululizo unamponda tuu kijana wa watu. Hata kama ndio kukosoa sio ki hivyo unampotezea comfidence na unampotezea kura pia. Kijana anajitahidi sana hata kama kuna wanaojitahidi zaidi yake. Ishu ya ww kukomalia ni wa kawaida daily ndo nini sasa mtoeni basi. Usiwe na double standards kwa washiriki. Ujumbe huo ukufikie kama hauko humu mkeo Shaa atakwambia yuko humu.
 
277020_eb4c6da1339aa4ebc15417a6b27d8411.gif
 
Master Jay una boa wewe jamaa. Hizi ni chuki za wazi kabisa kwa mshiriki Aboubakari. Haiwezekani wiki tatu mfululizo unamponda tuu kijana wa watu. Hata kama ndio kukosoa sio ki hivyo unampotezea comfidence na unampotezea kura pia. Kijana anajitahidi sana hata kama kuna wanaojitahidi zaidi yake. Ishu ya ww kukomalia ni wa kawaida daily ndo nini sasa mtoeni basi. Usiwe na double standards kwa washiriki. Ujumbe huo ukufikie kama hauko humu mkeo Shaa atakwambia yuko humu.
Wanalewa sifa sana hao,yeye na Anduje bora Madame yupo real.....Mwanzo MJ alikuwa poa ila kamfata ANDUNJE.
 
Kushiriki bss ni kupoteza muda.
Master Jay una boa wewe jamaa. Hizi ni chuki za wazi kabisa kwa mshiriki Aboubakari. Haiwezekani wiki tatu mfululizo unamponda tuu kijana wa watu. Hata kama ndio kukosoa sio ki hivyo unampotezea comfidence na unampotezea kura pia. Kijana anajitahidi sana hata kama kuna wanaojitahidi zaidi yake. Ishu ya ww kukomalia ni wa kawaida daily ndo nini sasa mtoeni basi. Usiwe na double standards kwa washiriki. Ujumbe huo ukufikie kama hauko humu mkeo Shaa atakwambia yuko humu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom