Kama ulishaanza biashara epuka kutaja maozo makubwa kodi ya kibanda isiwe kubwa japo watahitaji mkataba na mwenye kibanda kama sio chako na pia usitaje mtaji mkubwa utatamani uache tu hiyo biashara na ukikutana na boss mkuda hapo ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah mie nilitamani kulia pale nilipo taja mauzo ya kawaida tu iyo kodi yake sasa niligoma ikabidi nirudi kwanza nyumbani nifanye namna...
Sent using Jamii Forums mobile app
Bodaboda labda ufanye mwenyewe itakuwa poa sana...vipodoz vinalipa hasa makali lkn ujue lugha ya biashara eneo liwe na watu wengi .
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.