Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
#UNAAMBIWA Tafiti zinaonesha Mwanamke huongea wastani wa maneno 7000 kwa siku wakati Mwanaume huongea wastani wa maneno 2000 pekee,
unadhani nini kinasababisha Wanawake kuwazidi Wanaume idadi ya maneno kwa kiasi kikubwa hivi?
Nisaidie kumtag Rafiki yako ambaye idadi ya maneno yake kwa siku inazidi hata hii
iliyowekwa na Watafiti
Sent using Jamii Forums mobile app
unadhani nini kinasababisha Wanawake kuwazidi Wanaume idadi ya maneno kwa kiasi kikubwa hivi?
Nisaidie kumtag Rafiki yako ambaye idadi ya maneno yake kwa siku inazidi hata hii
iliyowekwa na Watafiti
Sent using Jamii Forums mobile app