Kuzaa mapema kuna faida sana kuliko kuchelewa.ukijipanga vizuri ni bora uzae mapema.sio unastaafu au ni mfanyabiashara una 55 bado unasomesha hicho ni kitanzi bwana mdogo.mimi ni mhanga wa kuchelewa kuzaa hapa nilipo najuta sana.sio kwamba sitapata msaada lakini hata baada ya kustaafu natakiwa...
Askari wa nani waliuliwa kama sisimizi.askari wa Russia wanaopigana ni kampuni binafsi ya ulinzi imepewa tenda ya kupigana huko Ukraine.Russia hawezi kupeleka jeshi lake ukraine anajua kuwa vita inaweza kuwa ndefu ikiwezekana kupigana na NATO.hata silaha anazotumia kwa sasa ni stock ya zamani...
Kwahiyo Simba haiwezi kucheza shirikisho.Man United,Arsenal na Barcelona je sio timu bora duniani.wachambuzi wetu wapo kichawa sana kuliko kuwa wachambuzi halisi wa mpira.Muda sio mrefu watu wataacha kuwafatilia wamekuwa mashabiki kuliko kufanya kazi zao.
Kwenda kupiga Kiev ilikuwa ni mbinu ya kivita tu.ili ukraine wasiweke nguvu Donbass then wa russia wakarudi na kumega hicho kipande wanacho kihitaji cha Donbass oblast.Russia hana haja ya kuikalia kwa mabavu ukraine.shida yake ni hicho kipande kitachofanya kuisukuma mbali Kiev hata ikiujiunga na...
Wenzetu wa West ni mahiri sana wa propaganda kwa kutumia media.lakini nna uhakika hali nchini ukraine ni mbaya sana.tusubiri ya afaghnistan walipeleka majeshi ya Nato na USA na kila aina ya vifaa wakaondoka kwa aibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.