kosa moja kwa mwalimu nio hukumu kwa walimu wote acheni upuuzi huu.kwani wangapi wanakosea huko.maofisini kwenuuu???? Na hii inapelekea elimu yetu kuporomoka kila siki kwa sababu viongozi wameshindwa kufuata taratibu jinsi y kutatua matatixo ya elimu kila moj inajifany mjuani. walimu hawana...
unahisi alitoa amri anajua taratibu na kanuni za kazi???huyu mkurugenxi ndio mtu wa kwanza kulaumiwa kwa sababu ameshindwa kufuata msingi ya kazi na jinsi ya kutatua matatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.