Recent content by kabotis

  1. K

    CHADEMA wakumbwa na kashfa ya kula Rambirambi msiba wa Mzee Ndesamburo

    Njooo data kamili acha siasa .umefanta tafiti ukajiridhisha na hiloooo.
  2. K

    Nauza kiwanja kipo kibaha

    Hajui hisabati huyo.msamehe kk
  3. K

    DC Hapi: Ajira ni aina fulani ya mfumo wa utumwa; Ashauri wasomi kujiajiri

    Anaye ongea hayo maneno naye kaajiriwa.kwa nn asijiajiri yeye?????kweli nyani haoni kundule
  4. K

    Wachezaji timu ya Yanga wagoma kufanya mazoezi

    Acheni kuandika taarifa ambazo una uhakikaas.chezeaYanga baba lao
  5. K

    Hebu walioko vyuo ualimu pitia hapa

    Nilidhani ni mwanachuo
  6. K

    Updates: Diamond Platnumz na Zari wapata mtoto wa kiume

    MTT macho yamekomaa kabisaaa
  7. K

    Kero ya kukata tiketi mabasi ya mwendokasi 'una 50 nikupe 100'

    Kadi ndio suluhishooo.chenji ni wizi wa mchana wanatufanyiaaaa
  8. K

    MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

    mtoa post hana jipya nahisi anafikiri kwa kutumia maka.........
  9. K

    Rais Magufuli amteua Profesa Lema kuwa M/kiti wa mamlaka ya viwanja vya ndege Tanzania (TAA)

    pia wote waliopata vyeo vikubwa wametoka udsm.vyuo vingine havina wasomi???
  10. K

    UBUNGO, DAR: Uchaguzi wa Umeya waahirishwa

    wameanza mizinguoo
  11. K

    Walimu jiteteeni, Kila siku ninyi tu mnaonewa. Elimu haiwasaidii?

    kosa moja kwa mwalimu nio hukumu kwa walimu wote acheni upuuzi huu.kwani wangapi wanakosea huko.maofisini kwenuuu???? Na hii inapelekea elimu yetu kuporomoka kila siki kwa sababu viongozi wameshindwa kufuata taratibu jinsi y kutatua matatixo ya elimu kila moj inajifany mjuani. walimu hawana...
  12. K

    Walimu jiteteeni, Kila siku ninyi tu mnaonewa. Elimu haiwasaidii?

    unahisi alitoa amri anajua taratibu na kanuni za kazi???huyu mkurugenxi ndio mtu wa kwanza kulaumiwa kwa sababu ameshindwa kufuata msingi ya kazi na jinsi ya kutatua matatizo
Back
Top Bottom