Wana jf na andika uzi huu nikiwa namachungu na wizara ya ajira tanzania maana nimezunguka sana na utafutaji wa ajira mpaka kila kona wanapotolea kopy za vyeti washanikalili niki ingia hata kununua kitu utasikia unatoa na copy au unataka copy za vyeti nimechoka na nina juta kusoma kilimo na sasa...
Utakuta wanasiasa pamoja na wafanyakazi waliopo serikalini ni watu wakwanza kusema eti vijana wajiajili .hivi mbona wao walipotoka vyuoni hawakuambiwa hivyo jamani.
Hivi bila capital utajiajili ndugu zangu.
kama kuna mwana jf anajua sababu za wao kusema hivyo naomba anitupie hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.