Likasu
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 843
- 405
Mwenzako ujue ana matatizo, unaleta utani.Yavunje vunje yawe chengachenga.
Mwenzako ujue ana matatizo, unaleta utani.Yavunje vunje yawe chengachenga.
Umeelezea kifupi sana Kanjunju....kwa miaka mingapi sasa unapata hedhi? kuna mabadiliko yoyote? kama yapo ilikuwaje huko mwanzo tofauti na sasa? Ilianza lini? unapata hedhi kwa jumla ya siku ngapi ukijumlisha hizo 3 unazotoa mabonge? unabadilisha pad mara nagpi kwa siku? zilnaloa damu completely? unapata maumivu makali unapopata hedhi?
Ni maswali muhimu kujua ili kukupa ushauri mzuri...
Generally, hedhi si kawaida kuwa na mabonge ya damu. Mara nyingi mabonge ya damu yanaonyesha kuwa unatoa damu nyingi kupita kawaida kwa hedhi. Damu nyingi inajumuisha pia kutoa kwa siku nyingi (zaidi ya siku 5).
Kama utapenda kuwa na 'privacy' (nakushauri hivyo) ukajibu maswali hayo kwa PM fanya hivyo...nitajitahidi kukupa ushauri unaostahiki.
Yavunje vunje yawe chengachenga.
Naomba msaaada wenu madaktari wa jf hedhi yangu ni mabonge kwa siku tatu mfululizo.je ni kawaida au ni matatizo kiafya?
Rest in peace dada.
Kunywa juice ya matikitimaji yana saidia sana tena iwe 3%2
Ivi unajua kuna watu wenye matatzo n hum ndio wanategemea,pengin utan kama hizi ungepeleka kweny magroup ya kihuni kule Facebook, huku kuna wasomi tu naenda kule kwa Vilaza 2enzioYavunje vunje yawe chengachenga.