Recent content by Kabibi

  1. K

    Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili Wote Duniani!

    Sema unaona mwanga wewe,kwa sababu unamaslahi au unalamba miguu ili ukumbukwe
  2. K

    Kuhojiwa kwa Askofu Severine Niwemugizi: Mtikisiko wa Kanisa na Utawala wa Magufuli

    Kanisa lilisahau liko kwa ajili ya kukemea maovu bila kujali nani ametenda, ndiyo maana viongozi wa kweli wa dini siku zote huwa adui wa watawala
  3. K

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nimetuma maombi ya kuunganishiwa umeme (nikajaza fomu) na kuahidiwa kuunganishiwa umeme baada ya wiki moja sasa unakaribia mwezi wa 2 sijauganishiwa umeme tatizo nini kama nguzo imeshawekwa ?
  4. K

    Utapeli, conspiracy & secret societies: Uhalisia wa umiliki wa kesho ya Ulimwengu

    Mkuu nakufuatilia kwa muda mrefu sana naomba unitag na Mimi mkuu
  5. K

    Utapeli, conspiracy & secret societies: Uhalisia wa umiliki wa kesho ya Ulimwengu

    Mkuu nakufuatilia kwa muda mrefu sana naomba unitag na Mimi mkuu
  6. K

    Vituko vya Mwalimu Mkuu

    Katika hali isiyo ya kawaida, Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Kerege wilayani Bagamoyo aliamua kijitoa ufahamu na kuanza kupigana na mhudumu wa baa inayotazamana na shule anayofundisha tena mbele ya wanafunzi wake na kuacha gumzo mtaani. Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
  7. K

    Naomba Mnishauri nilime zao gani

    Ushauri wangu ,kwa mtaji huo Mkubwa, nakushauri ulime matikiti lakini kwenye mikoa ya Pwani na Morogoro,. Kukodi shamba ekari 2 kwa maana ya mashimo 2000 Tsh.200,000,usafi was shamba na mashimo Tsh. 200,000 mbolea ya kuku viroba 100@100,000+70,000usafiri. Halafu nunuambegu 500gm @ 250,000 sumu...
  8. K

    Jenerali Kiwelu: Nilimnyima Sokoine siri za kijeshi vitani

    Jeshi letu limetukuka sana kwa harakati za ukombozi kusini mwa Afrika na kumng'oa nduli Iddi Amini Dada lakini katikati hapa limeingiziwa kitu kibaya na wanasiasa na kuonekana ni sehemu ya ufisadi mfano no madudu kama ya Meremeta na Deep g
Back
Top Bottom