Mzizimkavu mimi haipiti siku bila kula ndizi nina vidonda vya tumbo mwezi wa nane niliumwa sana nikaambiwa utumbo umetoboka nikatibiwa. Ndizi hunipa nafuu sana pale tumbo likianza kuuma. Ni tunda pekee kwa sasa ninaloweza kula likakaa tumboni, mengine aidha tumbo itauma na nitaharisha.
Wanawake wenye mapenzi ya dhati na wasiojua kuomba hela wapo ila wanaume mkishaona hivyo mnawaona km wajinga washamba hamkai na kutulia nao mnabaki mnahanja hanja kwa wengine acha mfilisiwe....damn:rolleyes::mad:
Kuna familia fulani naifahamu mdada alipata tatizo kama la huyu ndoa ilifungwa, mdada akamwomba mumewe aoe mdogo wake mwanamke ili amzalie watoto. Na mpaka sasa wanaishi vizuri tu.
Lewanga alishafariki kwa ajali huko mtwara. RIP
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.