Recent content by Kabale Ndagalu 2017

  1. K

    Kinachoendelea kati ya Gwajima na Makonda sio afya kwa maendeleo ya nchi

    Acha kutupotosha kwa maganda ya Karanga Gwajima ndo mchungaji peke yake neno la Mungu analitendea haki Imeandikwa mtachukiwa na mataifa, ila muwe hodari msiogope Ki ukweli Gwajima anaitenda hasa kazi ya Mungu, anakemea, anaonya pia anafundisha Anapaswa aitwe mfaume wa wakristo maana...
  2. K

    Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

    Hii ni kali, vyeti ''vs ufufuo, hapo uhusiano uko wapi?
  3. K

    The rule of law itumike kwa Makonda!

    Wanang mtetea Makonda ni wale wanataka uteule, hivi ukiambiwa unamasikolio makubwa kama ya Punda huku ukijua unamasikio kama ya faru utakuabali?Hata kama umevaa pama na imefungwa sana, utabinua hata kidogo uoneshe japo sikio moja, sasa Makonda tumueleweje? Anamasikio yapi?
  4. K

    Sheria iboreshwe ili kupiga marufuku huu utitiri Wa marais Tanzania

    Hutaki watu waitwe marais ili wazoee ili siku wakipata urais wasichanganyikiwe?
  5. K

    Tatizo la viongozi Tz hili hapa.

    Andiko lako murua, subili matusi sasa Yaani, shida yetu kubwa ni mfumo Na bila mfumo hatuwezi kupiga hatua hata kidogo, hata tukipiga uwezekano wa kupiga zingine tatu nyuma ni mkubwa sana Hatima ya nchi yetu ni mfumo utakao linda kila chembe ya maendeleo yetu Bila hivyo hatuwezi kamwe...
  6. K

    Pesa anazogawa Rais Magufuli kama njugu anazipata wapi? Nani kaziidhinisha?

    Achane kupotosha, rais kama binadamu anaweza akaguswa, Shida wenye shida ni wengi, ina maana mkutano mzima mwenye shida au mlemavu alikuwa mmoja? Au ndo bahati yake, kiongozi ni yule anaye fanya jambo in a holistic way
  7. K

    Maandishi ya mwisho ya Ben Saanane

    Duu, watu hatuna hata huruma, bora angekuwa amekufa tukazoea, sasa kupotea inatesa sana ndugu Zane, Mungu amsaidie aliko, Alive au dead
  8. K

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Mayala unauma na kupuliza, hiyo ni tabia mbaya sana, muogope Mungu, maswali yako ya Wiki iliyopita hujapata majibu unaruka na kitu kingine, acha unafiki
  9. K

    Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia

    Kabisa, Paschal Mayala mie nakufahamu sana Ni uandishi wa kichokonozi wa hali ya juu kabisa,tena unazingatia wakati na majira yenyewe, maana wali waandishi wetu wakawaida wangeandika kwa uandishi wao sasa hivi wangekuwa central kwa kutumia kale kasheria ketu, wandishi andikine kwa utalaam huu...
  10. K

    Uvamizi wa Gambia, umezidi kuipunguzia Afrika heshima nje ya Afrika!

    Yahya Jammeh, alikubali matokeo mwenyewe. Tume ya uchaguzi na vyombo vya usalama vyote vyake, alikuwa na sababu gani ya kukubali matokeo haraka, si angevamia na kuzuia yaaitangwazwe au ajitangaze mshindi kwa nguvu, nani angemshangaa, African nzima ingemuunga mkono, sasa anachikifanya nani...
  11. K

    Hotuba ya Obama na utetezi wa Democrasia

    Nimesikiliza ile hotuba, ki ukweli, japo Marekani na Tanzania ni sawa na Mbingu na nchi, ila bado naamini kuna kitu cha kujifunza bado. Ki ukweli kabisa Democrasia siyo usawa, bali kushindana kwa hoja na kukubaliana, na si kupinga kila jambo, bali ni vita baina ya hoja moja zidi ya nyingine...
  12. K

    Waziri Mkuu aliyefanya kazi chini ya kiwango tokea Uhuru wa Tanganyika

    Simpendi Lowama na Sumayi kwa Sababu moja Tu, walishika nafasi za juu Zach nchi hwakuganyi kazi sheria kandamizi ambazo kimsingi ndizo zinatutesa mpaka Leo,, naami walifanya hayo kulinda masilahi yao ama ya washikaji wao,pamoja na hayo Lowasa anabki kuwa Waziri mkuu peke yake alikuwa anaamini...
Back
Top Bottom