Msemajiwao
JF-Expert Member
- Sep 12, 2016
- 676
- 1,682
Naomba bunge lijalo liandae mswada kupiga marufuku kwa watu/ taasisi ndogondogo mbali na rais Wa jamhuri Wa Tanzania kutumia jina la rais: Napendekeza watumie neno mbadala waitwe "WENYEVITI"
Hapa chini ni baadhi tu ya watu/taasisi ambao wametajwa Kwa jina la rais!
1. Rais Wa Tff
2. Rais Wa chuo
3. Rais Wa Tahiriso
4. Rais Wa TLS
5. Rais Wa wasafi classic
6. Rais Wa wanawake Tanzania
7. Rais Wa shule
*******************
Napendekeza waitwe wenyeviti ili kurinda hadhi aliyonayo RAIS WA JAMHURI!
Kama majoho yameweza kupigwa marufuku kutumiwa chekechekea; Basi kuna haja ya kupiga marufuku kutumia ovyo jina la Rais!
Hapa chini ni baadhi tu ya watu/taasisi ambao wametajwa Kwa jina la rais!
1. Rais Wa Tff
2. Rais Wa chuo
3. Rais Wa Tahiriso
4. Rais Wa TLS
5. Rais Wa wasafi classic
6. Rais Wa wanawake Tanzania
7. Rais Wa shule
*******************
Napendekeza waitwe wenyeviti ili kurinda hadhi aliyonayo RAIS WA JAMHURI!
Kama majoho yameweza kupigwa marufuku kutumiwa chekechekea; Basi kuna haja ya kupiga marufuku kutumia ovyo jina la Rais!