Recent content by kababy

  1. K

    Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

    Hivi umelazimishwa kukaa hapo?mnawasemea watu tu!ulitaka atoe pesa zake mfukoni kuwezesha maji ambayo yamekuwa tatzo sugu jijini Dar es Salaam, hebu mwacheni kijana wa watu kha!maji maji imekuwa shida sasa, hamuoni msaada mkubwa anaofanya kwa Taifa ili kupitia michango yake, mnakera basi tu
  2. K

    Serikali yatenga sh 1bn kwa ajili ya mazishi ya viongozi wa taifa!

    Jameni labda wana Hit list yao ambayo inatarajiwa kutekelezwa ndani ya bajeti ijayo, ndiyo maana wanajua kuwa watakuswa na shughuli nyingi za maziko na rambirambi..interijensia inafanya kazi
  3. K

    Kukata mzizi wa fitna,Uitishwe mdahalo kati ya vijana waliohamia CHADEMA na wale waliohamia CCM .

    hao mtu na demu wake mtela na juliana wanaojifanya ndugu, kila uchao wanazunguka hotelini na kwenye kumbi za starehe wataweza kujadiri hoja?itakuwa vioja pekee, kwa CDM wameula kina bananga wameoshwa na damu ya kondoo wamekuwa wapya na hakika hawawezi kuongea ujinga kama hizo korokoro zilizokosa...
  4. K

    Makada CCM wakata rufaa ubunge wa Lema

    hivi wanachowaza wanafikiri kitafanikiwa??hata hiyo kesi iongozwe the hague na ocampo arudi kama mwendesha mashata ubunge wa lema hauvuki ng'o!kwani hawa majamaa hawana majimbo mengine ya kukatia rufaa?
  5. K

    Marando: Nape, Wasira, Sitta, Mwakyembe wana kadi zaidi ya 1

    hivi mkilipiwaga mtandao na kupewa laptop za bure ndo madhara yake haya?au ndo mnakula kiapo kwamba 'nitapost hata ujinga nikitetea chama changu'
  6. K

    Hatua zinaendelea kuchukuliwa kuhusu tuhuma na shutuma zilizotolewa

    Walau sasa kumepatikana njia ya kuanzia ufumbuzi...maana tulifika pabaya kwa hawa team Masalali, PM-7
  7. K

    Mtake msitake Zitto ni jembe

    Masalia at work!ni ujinga kutetea ujinga1au ndo tuseme mnaendeleza sera zenu za kulindana kwa maslahi ya Team Masali PM-7
  8. K

    Majibu ya Zitto juu ya shutma za kuhujumu CHADEMA

    teh teh teh majibu mepesi kwa maswali mazito!hamna kitu hapo:A S angry:
  9. K

    Should CHADEMA Fire Zitto?

    aombewee msamaha na watu kwa kipi?CHAUMMA na PM7 imeishia wapi?nitashangaa watakaokuwa wakiendelea kumuamini huyu jama, hata akiwa Rais kama anavyoota watakaompinga kuna siku atawatolea tamko la kuua wote kiuchawi, kiongozi gani anayeita watu panya na hata kutumia kinga za kichawi
  10. K

    PICHA: Mapokezi ya Godbless Lema jijini Arusha - Disemba 22, 2012

    magamba watakoma mwaka huu..yani kama nawaona namna inavyowachoma, hapana katisha na kaniki ya kijani mjini arifuu utafanyiwa kitu mbaya bora mlale home na najua vitanda havilaliki leo..wataisoma kimya kimya!!
  11. K

    Maandamo Musoma mjini

    polisi wapo kwaajili ya kufukuza maandamano na kuwatawanya waandamanaji mambo ya kuua wala hawayajali labda afe polisi wao ndo utaona hadi baba yao IGP anakimbilia eneo la tukio
  12. K

    Tundu Lissu ashinda kesi ya kupinga ubunge wake

    nashangaa sana sijui hofu yao inakuwaga nini wanapoamua kuweka ulinzi mkubwa tena hata pasipoitaji ulinzi wa namna hiyo, wanaohofia nguvu ya umma
  13. K

    Demu ananiomba anilalie zipuni!!

    hahahahahaha wengine wezi hao kuwa makini mweh
  14. K

    Hoseah: Chenge ana kesi ya kujibu

    Jana katika mkutano wake na wahariri mjini arusha, mkurugenzi mkuu wa takukuru edward hosea, alibahinisha kuwa katika uchaguzi mkuu wagombea wa chadema, walikuwa wakishiriki katika vitendo vya rushwa lakini takukuru ilishindwa kuwakamata kwa kuhofia kuwa wangeweza fanya maandamano nchi nzima ya...
  15. K

    Umeme wakatika bungeni, waziri aomba mshumaa (aibu)

    hadi jana usiku waliokuwa wakichangia bungeni, walikuwa wakichangia gizani, huku vitaa vyekundu vya maic ndo vikionekana...haibu gani hii jamani na bunge hilo latazamwa na wengi..bado tunajivunia serikali sikivu
Back
Top Bottom