nkasoukumu
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 897
- 419
Chenge ni lazima atashinda hiyo kesi kutokana na aina ya kosa analo shitakiwa, mchezo wa kitoto wa dr hosea
Mkuu, nimeangalia uchambuzi wa magazeti naona kila Gazeti imeandika kivyake, tapitia Mwananchi nadhani litakuwa limeandika vizuriUchunguzi umeshakamilishwa na Takukuru, jalada liko mezani kwa DPP punde anapanda kizimbani.
Uliona shida gani kusubiri yatokee ndo utujulishe, kuliko kupotosha habari kwamba Chenge Kortini wakati anayeamua au kutoa kibali cha kufungua kesi hajafanya hivyo? Unajua kwa DPP kuna majalada mangapi ambayo yamefikishwa huko na watuhumiwa wake hawajafikishwa mahakamani?
Halafu mnasema Serikali ya Kikwete haifanyi kweli?
wanatengeneza kiini macho hawa kwa sababu swala la chenge walilomfikishia nalo mahakamani linafahamika toka 2007 na pesa hizo zilitokana na issue ya radar kwanini wanakataa kuunganisha na swala zima unapodai ushahaidi hakuna una maana gani wakati pesa hizo zilitumwa kwenye wakati huo huo wa mgawo wa pesa za radar? kwanini rashid hajaunganishwa naye kama kosa ni kuwa na account ya nje kwani ktk hizo pesa kwa mujibu wa hao hao SFO zilitoka zingine dola 6 kwenda kwenye account ya rashid sasa kwanini wasiwaunganishe ktk kesi hii kwa pamoja wakatiHalafu mnasema Serikali ya Kikwete haifanyi kweli?
Kagoda? Kweli gani unayoijua au tu umebakia kuwa kasuku!Halafu mnasema Serikali ya Kikwete haifanyi kweli?
Soma tena post#1, tuhuma za Chenge sio za rada, ni kuwa na mali zaidi ya kipato halali!Si huyu huyu Hosea alisema Chenge amekutwa hana hatia sasa leo imekuwaje tena. Naona hiki ni kiini macho tu. On a different note: Kuna mahali nimeona baadhi ya wabunge wa JMT waliowakilisha wenzao kudai mabaki ya Radar wanapongezana kwa kushinda madai yao huko Uingereza akiwemo (Cheyo- UDP na Zungu- CCM). Sijaelewa walichoshinda nini hasa. Hiki kitu ni headache tupu.
Chenge ni msukuma,Hosea ni msukuma, DPP Feleshi ni msukuma na DCI Manumba ni msukuma. Hapo lazima yatapelekwa mashitaka dhaifu ili hatimaye mahakama imsafishe mzee wa vijisenti. Hiyo ni karata tatu.
I think this is the end !!! tutaendelea kuambiwa kuwa kesi ipo mahakamani hadi YESU anarudiThe questions is,given the current political enviroment will DPP act or will he sit pretty?
Chenge ni msukuma,Hosea ni msukuma, DPP Feleshi ni msukuma na DCI Manumba ni msukuma. Hapo lazima yatapelekwa mashitaka dhaifu ili hatimaye mahakama imsafishe mzee wa vijisenti. Hiyo ni karata tatu.