Recent content by Kaaya10

  1. Kaaya10

    Maneno yanavyoathiri uchumi wako

    Karibu ujifunze zaidi kwenye ukurasa huu na ELIMU YA FEDHA
  2. Kaaya10

    Uhuru wa kifedha makala ya tatu

    Karibu sana. Nakusikiliza
  3. Kaaya10

    Maneno yanavyoathiri uchumi wako

    Ipo nguvu katika maneno. Maneno yanaumba. Ukweli ni kwamba maneno yanauwezo mkubwa sana wa kuathiri maisha ya mtu iwe ni chanya+ au katika mwelekeo Hasi- kwa sababu Imani ya mtu katika jambo fulani huja kwa kusikia au tuseme miongoni mwa njia za kujifunzia ni kwa kusikia. Kama tunavyojifunza...
  4. Kaaya10

    SoC02 Dhibiti matumizi Yako!

    Ni Jambo la kushangaza, vipato vyetu ni tofauti na ukubwa wa familia na matumizi ni tofauti lakini mara nyingi sote hujikuta hatuna pesa au akiba. Kitu nnachojifunza hapo ni kua ukiamua kupunguza matumizi Yako na kuweka sehemu ya kipato Cha Akiba inawezekana kabisa kwani ukubwa au udogo wa...
  5. Kaaya10

    SoC02 Lala kwa saa nane

    Najua umesikia huu msemo kuwa siku imegawanyika mara 3, masaa 8 ya kazi, 8 ya kupumzika na 8 ya kulala. Swali: Ni kazi Gani hiyo unayofanya ambayo inaweza kulipa gharama zako zote za masaa 24 kwa kuifanya masaa 8 tu? Matajiri hawalali kama Wewe, unapoamka asubuhi unawakuta wameshafanya maamuzi...
  6. Kaaya10

    Sababu kuu tatu za kuweka akiba

    Hizi ndizo sababu kuu tatu za kuweka akiba Dharura. Tunaweka akiba kwa sababu tunajua kuna dharura itatokea na utahitajika kuwa na akiba, dharura sio kwamba hazijulikani hapana, usichojua ni itakuja lini na kwa kiwango gani. Kuna watu wakipata dharura na wana akiba awaitumii eti kwa sababu ni...
  7. Kaaya10

    Bajeti ni kuziambia pesa zako pa kwenda na cha kufanya, badala ya kukaa na kushangaa zilienda wapi na kufanya nini?

    Bajeti ni kuziambia pesa zako pa kwenda na cha kufanya badala ya kukaa na kushangaa zilienda wapi na kufanya nini. Hakikisha una bajeti ya pesa zako, Itakusaidia kujua kiasi gani kinaingia kutoka wapi na kiasi gani kinatoka kwenda wapi. Usianzishe jambo bila kujua gharama na faida zake...
  8. Kaaya10

    SoC01 Elimu ya Fedha: Uhuru wa Kifedha

    UHURU WA KIFEDHA (FINANCIAL FREEDOM) Uhuru wa kifedha ni ule uhuru wa kufanya mambo kama upendavyo au kutekeleza mahitaji yako yote kama upendavyo. Uhuru wa kifedha sio uwezo wa kuoanisha mapato na matumizi tu bali ni uhuru mpana wa kufanya kila jambo ambalo ungependelea kufanya bila kukwama...
  9. Kaaya10

    Mtaji na pesa ya kuendeshea biashara yako ni kama damu na oksjeni kwenye mwili wako

    Makala ya tatu Namna ya kupata mtaji wa kuanzisha biashara ndogo au kuongezea palipopelea. Mtaji na pesa ya kuendeshea biashara yako ni kama damu na oksjeni kwenye mwili wako. Kuna namna mbalimbali za kupata mtaji zikiwepo;- • Akiba • Mtaji kutoka kwa marafiki na wazazi • Mikopo kutoka...
  10. Kaaya10

    Uhuru wa kifedha makala ya tatu

    Namna ya kupata mtaji wa kuanzisha biashara ndogo au kuongezea palipopelea. Mtaji na pesa ya kuendeshea biashara yako ni kama damu na oksjeni kwenye mwili wako. Kuna namna mbalimbali za kupata mtaji zikiwepo;- • Akiba • Mtaji kutoka kwa marafiki na wazazi • Mikopo kutoka taasisi za...
  11. Kaaya10

    Uhuru wa kifedha sio uwezo wa kuoanisha mapato na matumizi tu bali ni uhuru mpana wa kufanya kila jambo ambalo ungependelea kufanya bila kukwama

    Uhuru wa kifedha ni ule uhuru wa kufanya mambo kama upendavyo au kutekeleza mahitaji yako yote kama upendavyo. Uhuru wa kifedha sio uwezo wa kuoanisha mapato na matumizi tu bali ni uhuru mpana wa kufanya kila jambo ambalo ungependelea kufanya bila kukwama. Ili uweze kufikia uhuru wa kifedha...
  12. Kaaya10

    USHAURI; Wakati Sahihi Na Wakati Mbaya Wa Kuchukua Mkopo Wa Biashara Benki

    Mimi kama Mwalim Wa Elimu ya Fedha niseme umetoa Elimu nzuri sana ya masuala ya mikopo
  13. Kaaya10

    Elimu ya Fedha

    MAANA YA MKOPO Mkopo* ni fedha ambayo taasisi za fedha au za mikopo zinatoa kwa wateja wake ili kukidhi mahitaji ya msingi/mtaji na kwa ajili ya kuboresha biashara. Pia ni fedha ambayo mkopaji anaweza kuitumia katika kipindi cha muda mfupi au ndani ya kipindi cha muda fulani, ambapo atatakiwa...
  14. Kaaya10

    Mkopo: Mshahara Tsh. 500,000/= mpaka Tsh. 700,000/= inaweza kupata maximum mkopo wa Tsh. ngapi?

    Maana yake unalipa Riba ya salio LA mkopo ulilobakiza pekee
Back
Top Bottom