Habari wana jamvi kama kichwa kinavyosema hapo juu nina omba kujua ukiwa na mshahara wa laki 5 mpaka laki 7 ambayo ni take home, Unaweza kupata mkopo wa maximum kiasi gani? Na itabaki shilingi ngapi?
Je, naweza kopa ikabaki Tsh. 100,000/= nitapata mkopo kiasi gani na nitalipa kwa muda gani? In case of 25M to 30M, Je kwa l200,000/ = itatoa gape ya mkopo kiasi gani? Na nitaulipa kwa miaka mingapi ? Inawezekana ukapata 30M or more au kama pungufu sema pia .
Ushauri, Kejeli, Dhihaka ni muhimu hata ukitaka kucheka ni wewe tuu. Lengo langu ni kutaka kujua mkopo at maximum kwa take home ya laki 5 mpk laki 7 naweza kupata shilingi ngapi?
Wataalamu wa account karibuni au niseme wafinenshia na watu wote walio jaribu kukopa kwa malengo tofauti tofauti naomba kujua hili linawezekanaa kupata kiasi gani kwa ukubwa ? au kiwango cha mkopo.
Je, naweza kopa ikabaki Tsh. 100,000/= nitapata mkopo kiasi gani na nitalipa kwa muda gani? In case of 25M to 30M, Je kwa l200,000/ = itatoa gape ya mkopo kiasi gani? Na nitaulipa kwa miaka mingapi ? Inawezekana ukapata 30M or more au kama pungufu sema pia .
Ushauri, Kejeli, Dhihaka ni muhimu hata ukitaka kucheka ni wewe tuu. Lengo langu ni kutaka kujua mkopo at maximum kwa take home ya laki 5 mpk laki 7 naweza kupata shilingi ngapi?
Wataalamu wa account karibuni au niseme wafinenshia na watu wote walio jaribu kukopa kwa malengo tofauti tofauti naomba kujua hili linawezekanaa kupata kiasi gani kwa ukubwa ? au kiwango cha mkopo.