Kaaya10
Member
- Dec 11, 2017
- 37
- 50
Najua umesikia huu msemo kuwa siku imegawanyika mara 3, masaa 8 ya kazi, 8 ya kupumzika na 8 ya kulala.
Swali: Ni kazi Gani hiyo unayofanya ambayo inaweza kulipa gharama zako zote za masaa 24 kwa kuifanya masaa 8 tu?
Matajiri hawalali kama Wewe, unapoamka asubuhi unawakuta wameshafanya maamuzi tayari Ya hiyo siku.
Masaa nane ni 33% ya muda wa siku. Sasa uniambie unatumia mbinu Gani 33% ijitoshe yenyewe na Ile 66% uliyopumzika na kulala.
Ukiwa umelala wanafanya maamuzi ya bei za bidhaa, ukiamka zimepanda unalalamika.
Mithali 24:33 Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, Bado kukunja mikono upate usingizi!
34 Hivyo, umaskini wako huja kama mnyang’anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha
Endelea kufuata ushauri wa daktari lala masaa nane Kwa siku.
Kumbuael Yesaya Kaaya 0769160382
Swali: Ni kazi Gani hiyo unayofanya ambayo inaweza kulipa gharama zako zote za masaa 24 kwa kuifanya masaa 8 tu?
Matajiri hawalali kama Wewe, unapoamka asubuhi unawakuta wameshafanya maamuzi tayari Ya hiyo siku.
Masaa nane ni 33% ya muda wa siku. Sasa uniambie unatumia mbinu Gani 33% ijitoshe yenyewe na Ile 66% uliyopumzika na kulala.
Ukiwa umelala wanafanya maamuzi ya bei za bidhaa, ukiamka zimepanda unalalamika.
Mithali 24:33 Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, Bado kukunja mikono upate usingizi!
34 Hivyo, umaskini wako huja kama mnyang’anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha
Endelea kufuata ushauri wa daktari lala masaa nane Kwa siku.
Kumbuael Yesaya Kaaya 0769160382