Unaelewa cutting point zilivyo na zinavyohesabika muwe mnasoma guidebook mnaelewa,sio mnapply tu ili mradi afu mnakuja kulalamika huku,pia competition inaweza ikapandisha admission point ikaongezeka zaidi ya hapo,ni lazima ujitathimini mapema,MUHAS mtu mwenye two ya 10,kwenye MD na Pharmacy...
Cutting point inaanza kuhesabiwa kwenye masomo mawili,kama itahesabiwa kwa masomo matatu lazima waweke from 3 subjects,CCD kwenye cutting point ni 6,na sio nane,soma vzur guidebook mtabaki kuwalaumu TCU tu
Guidebook kasome,kusoma Muhas cutting point ni kubwa sana,sasa mtu mwenye two ana apply vp hapo,muwe mnasoma guidebook ya TCU vizuri sio kila kitu tunalaumu
Kwani wakati unaolewa ukuyajua hayo? Walivyokuwa wanasema muwe mnaangalia familia za kuoa au kuolewa nazo ndo kama haya,kama uliwakuta wanaishi hivo na ukakubali kuolewa huna budi kuishi nao,labda kama maisha yalibadilika baada ya wewe kuolewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.