mbona wabunge wanjiita waheshimiwa inamaana binadamu wengine kama wakulima siyo waheshimiwa. Hao wajiitao waheshimiwa pekee yao wakati binadamu wote ni sawa haoni kama unashangaa zaidi. anajua PhD inapatikanaje? japo siyo lazima mtu aitwe injinia fulani lakini ni mbaya zaidi mtu kubagua watu...
Yaani walipa kodi wazuri ndiyo hawapaswi kuwa wanufaika wa mkopo wale wasiolipa kodi ndiyo wananufaika. Natural right logic hapa inakataa. Walipa kodi wazuri watoto wao wasome bure ili nawengine wajishughulishe na kulipa kodi. si sawa kabisa kufanya ubaguzi wenye sura hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.