Recent content by Justification

  1. J

    Najuta kupiga kura 2015, sitokaa nipige kura tena

    Kamwe sitajutia kura yangu as long as niliweka mahali sahihi, kamwe sitaacha kupiga kura as long as naenda kuiweka mahali sahihi. Lazima niwape kazi ya kuiba kura, nisipopiga kura mimi wataiba kura ya nani, kwahio unataka washinde kiulaini, lazima jasho liwatoke, wanafanya talling mpaka...
  2. J

    Off day ya kesho utata mtupu

    Sisi ambao ngoma haituhusu tunaenda kazini kama kawa.
  3. J

    UKAWA ongezeni nguvu kwenye majimbo yenye utata

    Kama unafutilia vizuri utagundua Kata/Majimbo ambayo ukawa WAMESHINDA matokeo yake yanasuasua kutangazwa na wahusika. Mfano jimbo la Tandahimba wameshinda ukawa lkn wahusika walijizungusha kutangaza matokeo lkn mgombea wa ukawa alisimama kidete na watu wake mpaka matokea yakatangazwa na akaibuka...
  4. J

    Lowassa aendelea kuwaburuza UKAWA. Amkataa Juma Duni Haji (Mgombea Mwenza), amtaka Ismail Jussa

    Nimekuelewa sana Samurai, Nyumbu wote waliobaki wangeelewa hili wangeeacha ushabaki.
  5. J

    Siri kubwa iliyojificha ambayo inawatafuna wasanii hawa wa Afrika Mashariki

    So Jide yeye alichagua mali badala ya watoto, na chameleone yeye alichagua mali badala nini? Na masharti yaliyomfanya Bushoke akimbie ni masharti gani hao?
  6. J

    Jamani hebu kuweni makini mnapoomba kazi jamani khaaa!!!

    Asante Walimweusi kwa ushauri wako, job seekers sometimes we became desperate!. Ujumbe umefika!
  7. J

    Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

    The bold umegusia CARTEL mmmmh, ndo mwanzo wa ss kukosa hot-hot na kukukosa ww. Tumwangie fastaaaa kabla hawajakudaka maana km mboga ndo imeshamwagika, na hao waliozama pm wamwange hapa fastaaa tuwajue. Kumbe kweli Ba Riz anawajua ila anaogopa kuwataja!!!!! mwemweeeeee Ma Mchungaji wangu!!!!
  8. J

    Hizi ndio kauli za mh.SUGU

    Nimepita leo maeneo yake ya kujidai, nimekuta vijana wanamsifu, "Mheshimiwa leo kaongea point tupu". Nikagundua kumbe vijana wanapinga kazi at the same time wanafuatilia bunge!
  9. J

    Kwanini wanaume huwa na michepuko?

    Hili swala la kusema michepuko haiepukiki ndo linalosababisha na upande wa pili kuchepuka. Busara zinatakiwa sana ktk swala hili, heshima kwa mkeo ndo kitu cha msingi. Ww binadamu gani usiejali hisia za mwenzako, umemuuza kihisia na bado unaenda kumuongeze maumivu ya mwili pia, wakati kosa ni...
  10. J

    Fungate na kisirani cha mauaji ya bi harusi Anni Dewani nchini Afrika Kusini….!

    Nikweli unaweza ukamua mrembo km huo sababu ya umalaya tu! Inasikitisha, nahisi kuna sababu zaidi ya hio!
  11. J

    Dawa ya ashki kwa wanawake inahitajika(libido boost medicine)

    Asante wanaJF na mleta mada, na mie nimepata kitu hapa! ngoja nikaongozee ifike kwenye maximum level!!!
  12. J

    Aliyewahi kutapeliwa kwa kuuziwa dawa feki za kienyeji atoe ushuhuda

    naona una bifu na akina tambalamit Kutapeliwa inatoka wapi hapa tena wakati unakuwa umekubaliana na mteja wako. Jaman hodi! kuku mgeni hakosi kamba mguuni. Mi nafikiri mtoa hoja anamaana nzuri tu ya kutusaidia na sie wengine tusipigwe. Ila neno alilotumia ndo laweza kuleta mkanganyiko...
Back
Top Bottom