Wanawake emu njooni hapa mtuambie kipi kinawafanya mpende sana shughuli/harusi kuliko ndoa yenyewe?
Binafsi kuna wanawake kama 5 nishawashirikisha hili jambo, na nilikuwa nikiwaambia hivi langu "nataka nikuoe tufunge ndoa ila kusiwe na harusi hata ikiwepo iwe ya kifamilia tu, watu wasiwepo...
Mwanateknolojia wa kibaolojia na mtayarishaji wa Filamu Hashem Al-Ghaili anatupeleka kwenye ziara isiyotulia lakini ya kuvutia ndani ya EctoLife - kituo cha kwanza cha uzazi wa mpango
EctoLife ni teknolojia itakayowapa wazazi wa siku za usoni njia mbadala inayodhaniwa kuwa salama zaidi ya...
Kama unajua right dosage ya hizo mitishamba na side effects then it's okay.
Ila dawa nyingi za kienyeji zinaua figo, ini etc kwa sababu right dosage haifaamiki.
Kama una majibu ya vipimo alivyofanya recently tuma tukusaidie kutafisiri.
Maana kinachoonekana hapa ni ameishapona.
Usingaike sana na hizo dawa za kienyeji utaua figo.
Yes ,ELISA inauwezo wa kumtambua hata kama yuko window period.
But this is not routinely done na hospital zinazofanya hicho kipimo Tanzania zinaweza zisifike Kumi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.