nili wahi kukukose sana tangu majumba madogo hadi majumba makubwa, sikua mm bali ni shetan alinipitia,si hyo tu hata pindi jua alijachomoza, nilikukosea na kufikia hatua ya kukupiga.im sory for that case,naahidi sinto rudia I LOVE YOU MY SWEET aaaaahahahaha(akaanza kulia).nimekusamehe mpenz...