Hivi kipofu akilala anaota!!!

Hivi kipofu akilala anaota!!!

JURGE WALYOBA

Member
Joined
May 14, 2014
Posts
51
Reaction score
8
Niliwah kuuliza kuhusiana na ili swali kua hv kipofo anaota nikajibu anaota lakin ni AUDIO
ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha!
 
Anaota.

Kama alipofuka ukubwani anaweza kuota anaviona vitu kwa uhalisia.

Kama alizaliwa kipofu, au alipofuka utotoni sana ataota hali ya upofu, mfano ameshika white can au helping hand
 
Anaota lakini katika hali ya kiuhalisia zaidi.
 
Back
Top Bottom