Recent content by Juniorlikukwa

  1. J

    Beki tatu wangu anaondoka wiki ijayo, je nimtafune?

    Anaondoka au umempangia nyumba?
  2. J

    Marejesho roho inaniuma ila sina jinsi

    25 yrs old bado mdgo sana kijana sio mda wako sahïhi wa kuhangaikia mapenzi utatokwa kamasi bure hadi ukome.
  3. J

    Jirani huyo

    Ahahahah mi mtaan kwangu nlikuwa nao 3 na wte wakaja juana haina shida wala gharama mchawi kiepe 2 nauli bigbom had magetoni.
  4. J

    Wanawake, ukitaka mwanaume akuoe fanya hii kitu

    Duh nimeshikwa kweli kwel dah huyu mtoto had mama angu kaamishia mapenz kwake nasubiri mwsho wa picha nione had kwenda hme cpend sasa wanataka ndoa 2.
  5. J

    Nilipokutana na Diamond Platnumz ana kwa ana tukaongea

    Tumeiona nguvu ya buku 10.
  6. J

    Aisee kumbe LAKI NI PESA

    Ahahah huwa natokwaga na machozi pale napozngka kutwa napata ten then naipasua hki ktendo cha ku2mia hela nachukia kwelii
  7. J

    Kujitolea ni moyo

    Sometimes sio vizuri kumzuia mtu kurudi kwa baba kwenye makazi na raha za milele.
  8. J

    Wanawake kumbukeni wanaume nao ni binadamu

    Mkuu leo ckuelew ila jthdi kufanya summary ya nyuzi zako nasoma hadi nasinzia bhana.
  9. J

    Hivi wadada siku hizi wameshaolewa wote, maana kila ninayegusa ananiambia ana wake?

    Nina takrban miaka 7 cjawh tongoza ila nakula mzgo kwa nimtamanie ckuiz hakuna ktongoza wanaotongoza ni watoto wa shule tuu mkuu.
  10. J

    Wapi nitapata chimbo zuri la jeans na tshirt za mtumba hapa Dar?

    Nipo katika soko la nguo nlikuwa nauza jeans spesho lakini kwa sasa nahita kuuza mitumba. Point yangu ni kwamba naombeni msaada wenu wakuu mniongoze ni wapi ntapata chimbo zuri la jeans na tshirt za mtumba hapa DSM? Nataka nikalenge kuchukua ballo zima hapana nataka wanapolenga especially...
  11. J

    Tetesi: Nimeamini Mhe. Mbowe sasa amekwama

    Bandiko la kisiasa hli watu wapo katka majonzi nyie ndo mnapata fursa za upmbv wenu acheni upuuz bhana.
Back
Top Bottom