Recent content by Junior Mselle

  1. Junior Mselle

    Kiwanda chafungwa kwa kusindika nyama ya Punda

    Unapokuwa na serikali kama hii yetu, usitegemee chote kizuri kutoka kwake. Hawa wachina tumewapendelea na kuwapenda kuliko tunavyowapenda wananchi wetu. Mambo wanayoyafanya kwetu hakuna Mtanzani atadhubutu kuyafanya kule China. Kwanza sheria za kulinda wananchi wao ni kali sana. Jiulize ni...
  2. Junior Mselle

    Dr Kigwangala aikemea CCM na kuikubali UKAWA

    Shahada za kupewa na wajomba pengine zipigwe marufuku. Sasa zinazidi.
  3. Junior Mselle

    Magufuli: Lowassa siyo saizi yangu

    Kama kipofu atajidai anaona mwache kwani mtaroni ndio nyumbani kwake.
  4. Junior Mselle

    Wabunge zaidi ya 20 wa CCM kuhamia upinzani

    Tafadhali kumbukeni ya Shibuda. Isije ikawa njama ya kuangamiza kabisa upinzani. Kama ni wajasiri waseme huko huko waliko.
  5. Junior Mselle

    Chalinze wakerwa na mtoto wa Mfalme Kikwete

    Kama jiwe laweza kutawala kwa haki HAYA!!!
  6. Junior Mselle

    Namshangaa Wassira kujiona anaweza jibishana ubavu na Warioba

    Kama miaka zaidi ya 34 aliyotumika katika nchi hii hana cha kutuonyesha uraisi anautaka wa nini? Ni kama jimbo la Chalinze mtoto kutaka kuendeleza pale baba aliposhindwa.:flypig:
  7. Junior Mselle

    Hivi watanzania hawana uwezo wa kufikiri wao wenyewe?

    Unajua wanasema waliiua Tanganyika na kuibakiza Zanzibar ili kuzuia Zanzibar isimezwe ndani ya muungano. Waliimuliza na au walipata ridhaa ya nani kufanya hivyo? Sasa Zanzibar kwa miaka 47 hawachangii chochote kwenye muungano na bado watanganyika wengine wanashangilia na kupiga makofi. Muungano...
  8. Junior Mselle

    Hivi watanzania hawana uwezo wa kufikiri wao wenyewe?

    Katika nchi yetu inaonyesha Watanzania huwa hatuna uwezo wa kufikiri na kuamua mambo yetu wenyewe kama mtu mmoja mmoja ila tumewaachia watu wachache wawe wanaamua kwa ajili yetu. Baya zaidi huwa hatuna msimamo kwani leo mtu anaamini hiki, kesho akija mtu na kukushawishi unabadilisha mawazo...
  9. Junior Mselle

    Mimi Mchawi & Ndiye Niliyezamisha Meli Ya Mv Spice Islander-Bint

    Uwezo wa kumeza damu tani 5000. Mv Space Islander ilikuwa na watu wangapi wa kutoa damu tani 5000?
  10. Junior Mselle

    Kampuni ya Tigo mnawaibia wateja!

    Hii mingine mambo ni hayo hayo. Airtel wanajiheshimu kwa sasa. Voda niliweka kifurushi siku moja baada dakika kila kitu kikawa kimelambwa:thumbup::thumbup:
  11. Junior Mselle

    Kofia kama ya Mwigulu sasa kuvaliwa na Kigwangalla

    Ndiyo ijulikane ni nguvu gani inatawala nchi kwa sasa
  12. Junior Mselle

    Uzazi wa Mpango - Njia za kuzuia, aina ya Uzazi wa mpango na ushauri

    Usitoe hiyo mimba kwani huyo ni mtoto wako. Mpe mama lishe ya kutosha, na kama unaogopa kunyonyesha zaidi basi mpe mtoto maziwa ya ng'ombe na vyakula vyenye lishe. Mtoto wa zaidi ya mwaka hawezi sumbua sana.
Back
Top Bottom