- Thread starter
- #21
haswaaaaa ila tigo ni washindi kuliko wote, last week niliweka buku 2 eti badala ya msg kunipa balance ya 2,000 inanijulisha kuwa balance yangu ni sh 446 tu kwamba wamekata deni lao, sijawahi kopa hata siku moja na hata kama ni charge ya mlio ndio iwe 1,600! sasa hivi naweka 500 tu kwa wiki nzima, niko kwenye mitandao yenye adabu kidogo angalao
Huo ndiyo mchezo wanaonifanyia hata mimi! naudhika kweli aisee.