Mimi nilikuwa naendelea na shughuli zangu kama kawaida , ikifika jioni muda wa kupunzika ndio naingia humu jamii forum, nikiona wadau wanasema kuna mkeka umetoka ndio naingia sasa kwenye website yao kuangalia jina langu.Sikua na utaratibu wakuingia kule bila kupitia humu.
Weka utaratibu kila...
Kuwa mvumilivu, niliomba ajira mwezi wa sita , interview nikafanya mwezi wa 11 , placement nikapata mwezi wa tano baada ya mwaka kupinduka, ajira rasmi nikaanza mwezi wa sita.
Sikua mchangiaji sana humu , ila nilikuwa nikija maramoja moja kusoma comments za wadau.Hakika kuna mda nilikata tamaa nikijua kuwa kazi nilishakoza kwasababu idadi iliokuwa inatakiwa ilishakamilika. Namshukuru mwenyezi nami nimepata kazi.Msikate tamaa wengi mpo database!
Sahihi kabisa nafasi yangu washapata watu 4 bado 2 kukamilisha idadi, pia kuna dada namfaham alipiaga oral trh 24 nov 2022 nae kalamba asali , mhasibu msaidizi. Hizo ni MDAs and LGAs wanazitoa taratibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.