Recent content by June

  1. June

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nilikuwa nikifanya mchezo wa hatari, nilikuwa nikiweka alarm tarehe ya deadline. Ikiita ndio na edit na ku upload barua [emoji23]
  2. June

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi nilikuwa naendelea na shughuli zangu kama kawaida , ikifika jioni muda wa kupunzika ndio naingia humu jamii forum, nikiona wadau wanasema kuna mkeka umetoka ndio naingia sasa kwenye website yao kuangalia jina langu.Sikua na utaratibu wakuingia kule bila kupitia humu. Weka utaratibu kila...
  3. June

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera na karibu tulitumikie taifa
  4. June

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuwa mvumilivu, niliomba ajira mwezi wa sita , interview nikafanya mwezi wa 11 , placement nikapata mwezi wa tano baada ya mwaka kupinduka, ajira rasmi nikaanza mwezi wa sita.
  5. June

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sikua mchangiaji sana humu , ila nilikuwa nikija maramoja moja kusoma comments za wadau.Hakika kuna mda nilikata tamaa nikijua kuwa kazi nilishakoza kwasababu idadi iliokuwa inatakiwa ilishakamilika. Namshukuru mwenyezi nami nimepata kazi.Msikate tamaa wengi mpo database!
  6. June

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sahihi kabisa nafasi yangu washapata watu 4 bado 2 kukamilisha idadi, pia kuna dada namfaham alipiaga oral trh 24 nov 2022 nae kalamba asali , mhasibu msaidizi. Hizo ni MDAs and LGAs wanazitoa taratibu
  7. June

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Survey , Msewe, maeneo ya ubungo karibu na chuo
  8. June

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna placement huko ,ofisi ya wakili mkuu wa serikali
Back
Top Bottom