Recent content by Jumbes

  1. Jumbes

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TUSHAURIANE: Nmepata ugeni wa dada yangu baada ya kukimbia kichapo cha mumewe

    Ndugu ni Ndugu, ulifanya vizuri kuiokoa Ndoa ya Dada yako! Ila uwe makini hata siku moja Shemeji yako asije kujua ukweli hali! Mtu wa kuwa naye makini ni Housegirl
  2. Jumbes

    JamiiForums Tanzania Polisi Iringa yawaua majambazi saba

    Mtu yeyote anayepongeza mauwaji yanayofanywa na Police, ni Mwehu anayetembea na nguo!
  3. Jumbes

    JamiiForums Tanzania Zitto acha udalali wa mauzo ya uhuru wa Freeman Mbowe

    Maoni yako yanatia AIBU! Ukweli ni kwamba hata kama Mh.Samia kwa sbb ya kiti chake, anaweza kumuua au kumfunga Mh.Mbowe, haiwezi kuondoa ukweli hapa Ulimwenguni kuwa Samia alimwonea Mh.Mbowe hivyo, siku moja tusiyoijua mimi na wewe, CCM na Rais wao huyo, watawajibika kuilipa Damu ya Mh.Mbowe...
  4. Jumbes

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Demokrasia ni kuheshimu Sheria, heshima ya Mtu inakuja kwa kuheshimu Sheria za Nchi, ombi la Zitto kuhusu kesi ya Mbowe lajibiwa

    Africa bado haijawa na sifa ya kuwa na Rais Mwanamke! Wanawake siku zote wana mtizamo hasi kwa kila jambo wanalokosolewa, wakikosolewa hufikiria kwamba, wametendewa hivi kwa vile ni Wanawake. Na wataiacha hoja ya msingi, na kuanza kupayuka huku wakitafuta kutoa adhabu. Tangu lini huyu Rais...
  5. Jumbes

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Yatoka na Maazimio nane dhidi yake

    Mshahara wa dhambi ni mauti! CCM- Chama cha Magaidi a.k.a Watu wasiyojulikana; kiko ukingoni kupigwa kitanzi. "Hakuna Marefu, yasiyo na Ncha"
  6. Jumbes

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe asubiriwa na Bunge kueleza lengo la barua yake Benki ya Dunia kuzuia mkopo wa kuboresha Elimu (SEQUIP)

    Ndugai na wana -CCM wenzake a.k.a Watu wasiyojulikana ni vema waache harakati zao za kupotosha Umma, kama kweli kilichozungumzwa na Mh.Zitto ni uwongo iweje WB wakubaliane naye!? WB siyo mambululaz km wengi wa wana-siasa wa TZ walivyo!
  7. Jumbes

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu aanza Ziara nchini Marekani

    Niliwahi kusema kwenye jamvi hili, baada ya Vikosi vya watu wasiyojulikana a.k.a Magaidi wa Mtukufu kumpiga Risasi Mh.Lissu, kwamba Damu yake na ile ya wote waliokwisha uawa/kupotezwa iko juu ya Ardhi ya Tanzania, Mungu atalipa kisasi kwa niaba yao, mdogo mdogo tutashuhudia kuweweseka kwao...
  8. Jumbes

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuelezwe kulikuwa na sababu gani za msingi kunasa mazungumzo ya simu ya Makamba kama waziri katika Serikali na viongozi wengineo

    Ikiwa wale watendewa wa Dhambi hii, waliiona jambo hili ni kawaida na baadhi yao pamoja na kusifika kuwa wana weledi wa kutosha, bado walilegea, wakawasaliti wenzao nakuamua kumlamba viatu yule aliyewakosea, sisi niwakina nani, tunaoweza kuwasaidia!? Kwanza walipaswa wajibebe wenyewe kisha ndipo...
  9. Jumbes

    JamiiForums Tanzania Huwa sipendi kuwahurumia wanafiki!Kwa muktadha huo,Kabendera na Lissu pambaneni na khali zenu!

    Wewe mleta Pumba hii, jitathmini vizuri kisha utagundua humu JF hapakufai! Humu kumejaa watu wanaojitambua na wenye weledi usiyo na mashaka. Tafuta makundi ya saizi yako, ndugu!
  10. Jumbes

    JamiiForums Tanzania Askofu Shoo: Viongozi acheni ubaguzi na kiburi hasa viongozi wenye umri mdogo, Spika tenda wema uwapo bungeni

    Heri yake Huyu Askofu Shoo, anakula mfupa uliyowashinda viongozi wenzie wa Kidini! Wamebaki wakichungulia Matukio ya KIGAIDI dhidi ya Wananchi yanayofanywa na MAGUFULI, wakiwa ndani, utadhani NGILI aliyejificha shimoni
  11. Jumbes

    JamiiForums Tanzania Watanzania Watakapoamua Wenyewe, Watatafuta Uhuru wao bila Kuambiwa.

    Ukweli ni kwamba Magufuli ni Gaidi wala hafai kuutwa Rais! Amewakosesha amani wa TZ kwa kiasi kikubwa. Yaani miaka yake mitatu ni km karne, watu wako hoi, wanaishi kwa hofu, wana njaa kali na hata kujua hatima ya kesho ni vigumu! Viongozi wa CCM mliotuletea huyu JPM, mlaaniwe kwa kadili wananchi...
  12. Jumbes

    JamiiForums Tanzania Wakati mwingine kunyamaza ni ujinga, hatutakaa kimya. Chadema ni maarufu na ina nguvu kubwa sana kuliko Lowassa na kundi lake

    Lowasa na wana CCM watambue kwamba kura alizozipata Lowasa, zilitokana na kubebwa na CDM, wakitaka kujiridhisha juu ya hili, Lowasa ajaribu kufanya mikutano halafu CCM waache kukusanya watu kwa kuwaahidi kuwapa Pesa, aone km atapata hata Inzi wakumzengea! Ninamfananisha Lowasa na yule Punda...
  13. Jumbes

    JamiiForums Tanzania Tuliompa Lowassa kura zetu tukutane hapa tumueleze kuwa "Kumpa kura Magufuli ni ndoto ya mchana"

    Lowasa anapaswa kujua kura alizozipata kwa wingi na umati ule uliokuwa ukimshangilia ilikuwa ni kwa sababu ya kubebwa na CDM, ajaribu kupita mikoani aone km ule umati utamfuata! Ninamfananisha Lowasa na yule Punda aliyekuwa amembeba Yesu kuelekea Mji wa Jerusalem, baada ya Yesu kushuka juu...
  14. Jumbes

    JamiiForums Tanzania CCM yapinga Lowassa kumkimbia Tundu Lissu CHADEMA

    Wafuasi wa Upinzani kamwe hawawezi kupungua eti kwa sababu ya Mtu mmoja, kwa hali ilivyo mbaya kwa huu utawala mbovu wa CCM, wafuasi wa upinzani watazidi kuongezeka zaidi kuliko kawaida! Wajinga hao waacheni wajidanganye tu
Back
Top Bottom